sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Kapachino msipepese hata kopeeee napita sekunde sifuri![]()




Usubiri Kwanza huku buza Kwa kichwa mtandao unasumbua
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapachino msipepese hata kopeeee napita sekunde sifuri![]()




Asante Sana! Mnywani;
Wee Sumbai uko Nyakibimbirii hukuuu niniii sio kwa hio network 🤭🤭😊😊!!
Buza network shidaaaa...Wee Sumbai uko Nyakibimbirii hukuuu niniii sio kwa hio network!!
Santoo sana mnywanii!!Asante Sana! Mnywani;
Huna deni na chino kabisa.
Mda wa kuanza kusifia uumbaji tu
Litoto una macho makubwa ya duara!Santoo sana mnywanii!!
Nampa Chino akee akuoneshee Usijareee!!
Sawa ngoja na mimi nitupiemo aiseeNawee leo tupiaaa basiii
😂😂😂😂😂!! Umesahau ya kurembuaa mnyama 🤭🤭😊!!Litoto una macho makubwa ya duara!
Ukitupia wewee huyooo Nipo nimekaa paleeee 👉👉 😊!Sawa ngoja na mimi nitupiemo aisee
Kuna mwamba kaHii Nchi imejaa upigaji kila mahali, hawa Tanapa si ndiyo vikao vyao wanafanyia Dubai au 😄
Mungu hapendi hivyo ndugu mjumbe umepita kimya kimyaNimepita Naked kabesaaa na mmekaa hapohapo mmepitwa lol!!