Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

nimeacha kwenda kidimbwi kabisa labda ukinipa ofa
Hongera kama umeacha, juzi kuna Mzee mwenzangu mmoja alinishawishi twende kuona yanayoendelea kule ili kufanya ulinganifu na mambo ya klabu zetu za mwaka 1957.

Kusema kweli mlichotuzidi nyinyi vijana wa kileo ni matumizi ya Shisha tu, ila kama ni Bata Wazee wenu hapa tulikula kuwazidi 🤗😜🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Maofisini utawaweza, huko kila mtu atapewa jina, ili mradi tu. Kuna mmoja chotara wa kiarabu na kihaya. Basi anapenda aonekane na kalio na huwa ananitania, mkwe nipunguzie ...
Sasa Mkaka mwingine huwa anamwambia ungekuwana nalo weyee tusingekunywa maji 😆😆😆😆😆
kumbe yaliyomo yamo🐕
 
Back
Top Bottom