Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,842
- 57,486
Hongera kama umeacha, juzi kuna Mzee mwenzangu mmoja alinishawishi twende kuona yanayoendelea kule ili kufanya ulinganifu na mambo ya klabu zetu za mwaka 1957.nimeacha kwenda kidimbwi kabisa labda ukinipa ofa
Kusema kweli mlichotuzidi nyinyi vijana wa kileo ni matumizi ya Shisha tu, ila kama ni Bata Wazee wenu hapa tulikula kuwazidi 🤗😜🏃♂️🏃♂️🏃♂️
