sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Naaam hizi ndio zenyewe.Kichwa kama kichwa!! Sijamaliza hadi kesho sema Nataka kusuka kama hizi mnywanii!! Zinakaa muda mrefu
Kapachino Kazi unayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naaam hizi ndio zenyewe.Kichwa kama kichwa!! Sijamaliza hadi kesho sema Nataka kusuka kama hizi mnywanii!! Zinakaa muda mrefu
I'm grateful.Nimewamiss hamjambo? Nilikuwa busy na maandalizi ya Easter kesho. Nawapenda sana![]()

Finally walau mzee wa hall 5 atatulia!Nimewamiss hamjambo? Nilikuwa busy na maandalizi ya Easter kesho. Nawapenda sana 😘😘😘
Umependeza Sana mnyama mkali!Kichwa kama kichwa 🤭🤭!! Sijamaliza hadi kesho sema Nataka kusuka kama hizi mnywanii!! Zinakaa muda mrefu
Nilikuwa naangalia. Huo msuko Saafi sana.sumbai tatizo lako unazurula Sana unapitwa huku we mzee wa hall 5
Kucha si utamaliza wewe kwa athanas kucha pale kimara?Nilikuwa naangalia. Huo msuko Saafi sana.
Huo pesa unalipa kiroho saaafi kabisaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliekupeleka Cuba Mungu anakuona!Hio sampo tu sio mie mnywanii!🤣🤣
Naaam hizo mbata huwa tamu sanaa.Huku Pwani Nazi ikiwa hivi haiitwi tena NAZI inatwa MBATA.View attachment 2581494
Utadhani mchina kakatwa mapanga kichwani na kunyolewa paraa😂Naaam hizo mbata huwa tamu sanaa.
Nazi iliyokauka maji.
Vip huwa mnazitumia kwenye medani za Giza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Santoo sana Mnyama mkareeeee ✌️✌️Umependeza Sana mnyama mkali!
Uzuri nao unakubeba we litotoSantoo sana Mnyama mkareeeee ✌️✌️
Nijazeee nijazeee weee nijazeee tyuuuu mnywanii 🤭Uzuri nao unakubeba we litoto
Niangalizie nyingine apo ebu!Nijazeee nijazeee weee nijazeee tyuuuu mnywanii 🤭
Dakika sifuri Usipepese hata kopeeeeNiangalizie nyingine apo ebu!
Si unajua ndo tunaikaribisha Easter ivo