sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Wewe ndio umemficha Bantu LadyUnakipimbia enda wapi tena mtoto mzuri!
Hongera
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio umemficha Bantu LadyUnakipimbia enda wapi tena mtoto mzuri!
haha dah!
Msalimie saana. Mzeehaha dah!
Sikukuu hizi watoto hawataki maneno mengi Sana we mzee wa hall 5
Bantu Lady ntampoteza kijana wangu wa hall 5
Nkamu wetu na mambo mazuri mazuri

Karibu TundumaNa Uzee wote huu unaniita Dogo
Kama utakuwa around sema niweke Order ya mguu wa mbuzi tuchome
Duh
MtotoNkamu wetu na mambo mazuri mazuri![]()
sawa sawa,mrembo
safi sana
Cheusi Mangala aka chausiku🙃 unaend kusafish makazi ya mileleUkijitolea kanisani uchoki Gily leo ujatokea View attachment 2580501
Ndio ww si ujakujaCheusi Mangala aka chausiku🙃 unaend kusafish makazi ya milele