Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mpaka ofisini unaimbwa mtoto Mimi Ni nani? nyuma ya keyboard nisikuimbe!

Chino inabidi nitafute pesa niache maneno mengi na kujieleza Sana aise.
Maofisini utawaweza, huko kila mtu atapewa jina, ili mradi tu. Kuna mmoja chotara wa kiarabu na kihaya. Basi anapenda aonekane na kalio na huwa ananitania, mkwe nipunguzie ...
Sasa Mkaka mwingine huwa anamwambia ungekuwana nalo weyee tusingekunywa maji 😆😆😆😆😆
 
Maofisini utawaweza, huko kila mtu atapewa jina, ili mradi tu. Kuna mmoja chotara wa kiarabu na kihaya. Basi anapenda aonekane na kalio na huwa ananitania, mkwe nipunguzie ...
Sasa Mkaka mwingine huwa anamwambia ungekuwana nalo weyee tusingekunywa maji 😆😆😆😆😆
nshomile tena kwa sifa wameshashindikana! wewe humuoni mnyama mkali tokea nshambya_ bukoba Antonnia anavyojiamini.

Sema limentain usije ukaingiwa na akili ya kiwema sepetu utamkwaza Sana kapachino
 
Good evening
IMG_20230327_224621.jpg
 
Enzi za jumong and land of the wind.

Jumong ndio ilikuwa habari ya mji
Hii land of the wind niliianziaga advance! Kila ijumaa na jumammos! Mlinzi alikuwa anamtindo wa kuficha key ya kuchukulia tv; ikifika siku izo. Kuna siku tulimtembezea chapo kisa icho itu. Ulikuwa hautuambii kitu kuhusu mchizi Jan bok
 
Back
Top Bottom