Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Ndio😂😂 kwahio unamshatakia sio
Maana alishuhudia hujuma uliyonifanyia Ile siku
Ndio😂😂 kwahio unamshatakia sio
Acha woga tumia w.end hiiSina hela leo af watu wanaanza kunitamanisha kutoka
Nilimtelekeza stendi 😂😂😂Ulimfanyia nn
Asante😅Achana naye huyo
Sio kwako lkn😅Si mshahara wa mtu huo jamani😂
Watu mna utani na hela
Leo haijiludi pleasNdio
Maana alishuhudia hujuma uliyonifanyia Ile siku
Anakuchukulia poa sanaSijui ananichukuliaje aisee😂
d
dah hii koment sikuiona mrembo wangu.nisamehe kwakuchelewa kukujibu.mimi hii forum naijua tokea hujavunja ungo mwakaule wa 2009 sema nimekuja na I'd mpya ili nipate mademu wapya Mana wewe nishakuchoka




Nitalaza viumbe vya Mungu njaaAcha woga tumia w.end hii
NilimkimbiaAlipotea![]()
Huna hela af unataka unitoe😂😂Sina hela leo af watu wanaanza kunitamanisha kutoka
Hela ya kukulisha ww sikosi pale kfc mimi nitakunywa maji 🙄Huna hela af unataka unitoe😂😂
Uko serious na maisha kweli wewe
Ila KFC unajiweza?Nitalaza viumbe vya Mungu njaa
Kumbe ulikua banned jirani yanguKwa lile kosa
Sio la kupewa ban ya siku 7
Af kumbe sina koneksheni![]()
yan napitia konekshen ndo napunguziwa zibaki 3
Sema nashukuru we uliyenikonekti
Maana hizo 4 nyingine dah 🥹
Nimeambiwa niache kutukana sijui kusema watu
Sawa
Sahiv dustin bin itajaa![]()
Ukisema 1+1 ni 11
Nikikwambia ni 2 ukikataa
Nakuweka bin
Chitaki stress na watu wenyewe hamjulikani Lenie
Natamani nikusababishie ban
Ila nimeokoka
Hallelujah
Mapendo ya kinafki na kiukweli yaendelee
Sio sana mimi najiweza lamada hotelIla KFC unajiweza?
KFC pa watotoHela ya kukulisha ww sikosi pale kfc mimi nitakunywa maji 🙄
Hya food point?KFC pa watoto
KFC apeleke wadogo zake bana, sio mimiIla KFC unajiweza?
Kuna Lamada na Ramada, so which one?Sio sana mimi najiweza lamada hotel