Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,505
- 8,713
Haha nipo kwa pembeni apo!๐ ๐ ๐ Leo Leo hii maana naona maji ya mvua hapo.. upo mwepesi
Nipo darasani Kuna tafiti nafanya.
Haha nipo kwa pembeni apo!๐ ๐ ๐ Leo Leo hii maana naona maji ya mvua hapo.. upo mwepesi
Heee kumbe mchumba ni makoloWana Simba wenzangu mechi sangapi?

Mchumba wewe ni uto kumbeHeee kumbe mchumba ni makolo![]()

Leo mnafungwa ๐คฃMchumba wewe ni uto kumbe![]()
Shindwa pepoLeo mnafungwa![]()
1-0Shindwa pepo
๐ ๐ ๐ kuna ka bar flani hapo pembeniHaha nipo kwa pembeni apo!
Nipo darasani Kuna tafiti nafanya.
Haha we ni konyo๐ ๐ ๐ kuna ka bar flani hapo pembeni
๐ ๐ machimbo karibia yote dar es salaam nimemaliza , sio ya kishua wala kiswazi na sichaguagi chakula asee ๐คฃ๐คฃ๐คฃHaha we ni konyo
Hii inaitwa Simba akikosa nyama hula hata majani.
Niko hapa natambaa tambaa na ukuta wa law school naelekea kwa Loveness.
mambo mremboShindwa pepo
ahahahahah hatari hiyo dahhii tunahonga hadi kanisa na waumini wake
๐ ๐ machimbo karibia yote dar es salaam nimemaliza , sio ya kishua wala kiswazi na sichaguagi chakula asee ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Leo hali ya hewa nzuri sana
unamaanisha kabisa ahahahahahah๐ ๐ machimbo karibia yote dar es salaam nimemaliza , sio ya kishua wala kiswazi na sichaguagi chakula asee ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Leo hali ya hewa nzuri sana
๐ ๐ ๐ ๐ kile kitoto sijawai kabisa kuwa na mzuka nacho aisee.. kila nilipokuwa najaribu kukivutia hisia nikitupie bomba.. stim haziji..Kile kitoto cha mara kilipona kweli? Kilikuwa kina pub pale njiapanda ya shule kabla hujafika kinyerezi, jina limenitoka kidogo
๐ ๐ ๐ ๐ ๐ staniii kabisaaaunamaanisha kabisa ahahahahahah
Stim zilikata kwann sasa ?๐ ๐ ๐ ๐ kile kitoto sijawai kabisa kuwa na mzuka nacho aisee.. kila nilipokuwa najaribu kukivutia hisia nikitupie bomba.. stim haziji..