Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Yote unayafahamu sioIli nigundue nini mie Wigeee!!
Bhas neng'eneka
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Yote unayafahamu sioIli nigundue nini mie Wigeee!!
Hahaha..aaa hainaga Kurudi nyumaa hiooo!!Unarudi kwa ex ili ukagundue nini kipya? 😅😅😅😅😅
Teacher nakusalimu![]()
Aione Wigelekelo ili akazie vizuri!!
Atakwambia nahizo presha na visukari vyenu mtakuja letea watu kesi!![]()
Huyo jamaa ameshindwa kujiongeza, Mwanamke hanaga nafasi ya kupenda mara mbili hasa akisha Move On. Yaani akitoka kwako ndiyo Baba Jane bye bye.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nacheka kama mzuri, umenikumbusha mtu ambaye hajamove on, mwaka sijui wa 10 naa sasa dah. Usiombee mtu wa hivyo maishani mwako.
Maana yeye akili yake, inamtuma ipo siku mtarudiana tu.
Halafu wewe hata wazo naye huna, hapo ndiyo utajuta kumjua 🤦♀️
Khakhakhaaaa!! Uchi kweri kweri!Hii ni UCHI sasa sio naked!
Hata Mimi naonaAnajua Babu yake hapa Sina shida![]()

Usitoke kwenye uhusiano, kama unajua kabisa kuna vitu utavimiss.Kuna vitu vingine unakua unavimisi![]()
🤣🤣 Hakuna kipyaaaa!! Yote ni yareeeyareeeee!! in Bantu Lady s voice 😁😁
Wigelekelo - Aione kwenye Jalada 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aione Wigelekelo ili akazie vizuri!!
Atakwambia nahizo presha na visukari vyenu mtakuja letea watu kesi!🤣
Na ni kweli kabisaUsitoke kwenye uhusiano, kama unajua kabisa kuna vitu utavimiss.
Kuna watu hawajui kugeuka, wakiacha wameacha.
nacheka kama mzuri, umenikumbusha mtu ambaye hajamove on, mwaka sijui wa 10 naa sasa dah. Usiombee mtu wa hivyo maishani mwako.
Maana yeye akili yake, inamtuma ipo siku mtarudiana tu.
Halafu wewe hata wazo naye huna, hapo ndiyo utajuta kumjua![]()









hakuna kuachanaa, ni kutengana tyuuuhTUbless basi na ww Le Madam!Khakhakhaaaa!! Uchi kweri kweri!
Ndriiiooo babu mjukuu wako Wigelekelo 🤣🤣😂!Wigelekelo - Aione kwenye Jalada 😂
Kuwa na Amani na Babu yenu jamani 🤪
Poaaaah mzima weee??Mambo wa kunyumba
Hakuna Mzee hapo![]()
Aione Wigelekelo ili akazie vizuri!!
Atakwambia nahizo presha na visukari vyenu mtakuja letea watu kesi!![]()
Niko poa kabisaPoaaaah mzima weee??
Dingi vipiHakuna Mzee hapo
Utapelekewa moto hadi uombe poo
Mchekee manina
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Umeona ujumbe wa kijanaantonniaTUbless basi na ww Le Madam!
Baba Jane byebye 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sijui namsaidiaje. Kweli mwanamke kupenda kwa mara ya pili, wachache sana.Huyo jamaa ameshindwa kujiongeza, Mwanamke hanaga nafasi ya kupenda mara mbili hasa akisha Move On. Yaani akitoka kwako ndiyo Baba Jane bye bye.
Hayo mambo ya kurudiana na MaX ndiyo chanzo cha maradhi Wakati mwingine. Umeachana na mtu zaidi ya miezi kadhaa then mambo yamemshinda alipoenda au amekubembeleza eti unamrudia
(Huwezi Jua baada ya Kutoka kwako alikuwa na route za Mbagala - Simu2000 au alikuwa anafika Kawe hadi Bunju 🤪)
Mimi mambo ya hivyo yamenipita kushoto. Maybe utabaki kama Rafiki tu (Nakuweka kwenye Friend Zone). Kama kuwasiliana inakuwa very rarely