Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Usijareee kabisa mkuu one time nimalizie report hapaTUbless basi na ww Le Madam!
Siku utoke baruu na pichu mkononi
Hakuna kurudi nyuma maana kila mtu anabaki na kitendea kazi chake sioBaba Jane byebyesijui namsaidiaje. Kweli mwanamke kupenda kwa mara ya pili, wachache sana.
Watu wanaambiwa ukipendwa, tulizana iko siku huyo mtu ataondoka uanze tishia kujiua bure
Na magonjwa haya nani arudi, kila mtu apambane na hali yake tu.
Ukimpenda mtu, anakuona huna pa kwenda. Muache sasa hee unajiuliza nimebadilika nini jamani![]()




Nice,.Usijareee kabisa mkuu one time nimalizie report hapa
Bado aise dingi
Tulia dogo😊Wachaa wee, hongeraaa.
Sitrakiii mieee!! Hakuna kipya nisichokijuaaa ! Bakini na babu yenyuuuuu mie Hapanaa 🙌🙌🙌🙌🙌Hakuna Mzee hapo
Utapelekewa moto hadi uombe poo
Mchekee manina
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Mjumbe kamwandiko kazuri kama weweUsijareee kabisa mkuu one time nimalizie report hapa




Bado pale paleeBado aise dingi
Asante mjumbe!!Mjumbe kamwandiko kazuri kama wewe![]()
Una hamu weweSitrakiii mieee!! Hakuna kipya nisichokijuaaa ! Bakini na babu yenyuuuuu mie Hapanaa
My B anitoshaaaa The one and only Bbbbbbbbbb Bebebebebibeeeeeeeee![]()
Itakuwa jamaa alichefukwa kupitiliza 😂Kuna mtu niliona alichukua vitu vyote vya ndani yaani vyote yule dada ilibidi aanze kulalalia kanga
Sasaa jee! Hakuna kugeukaaaa!Hakuna kurudi nyuma maana kila mtu anabaki na kitendea kazi chake sio![]()
Pale pale kuna kachangamoto kalitokea
DuhPale pale kuna kachangamoto kalitokea
Lakini ule ni ushamba mimi naona maana ulishamtumia sasa ya nn kumfanyia hivyo mkiachana kila mtu achukue hamsini zakeItakuwa jamaa alichefukwa kupitiliza
Haijalishi mmeachana kwa sababu ipi, lakini suala la kumpokonya hadi Zawadi ulizowahi kumpa baada ya Kukufurahisha kwenye 6x6 sio sahihi.
Kuna watu labda Ugeni au nini, Sisi ambao Umri umeenda tumekutana na vingi Sana.
Kuna Wadada Wanajua kujituma kunako 6x6 hadi wewe mwenyewe na akili zako timamu unaamua kumzawadia. Sasa mkigombana ndiyo umpokonye Jasho lake, hiyo sio sawa kwa kweli![]()
Humu nishashindwaga mie Wige siwawezi 🙌🙌🙌🙌!
Ndio hivyo hamna jinsiSasaa jee! Hakuna kugeukaaaa!
Asanteeeeeeeeeeeh😎😎😎😎!Lakini ule ni ushamba mimi naona maana ulishamtumia sasa ya nn kumfanyia hivyo mkiachana kila mtu achukue hamsini zake