Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siku utoke baruu na pichu mkononi

Ndio utajua hujui

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Miee huyooo navopenda 🍆🍆????? Thubutuuuu 🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️😀!
 
Hayo maneno

Utakuwa unayakata kata

Ukishajaa kwenye 18

Huku moto unatembea

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂 ikitokea ntamwita cocastic anisaidie 🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂
 
Baba Jane byebye 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sijui namsaidiaje. Kweli mwanamke kupenda kwa mara ya pili, wachache sana.
Watu wanaambiwa ukipendwa, tulizana iko siku huyo mtu ataondoka uanze tishia kujiua bure 😆😆😆😆😆

Na magonjwa haya nani arudi, kila mtu apambane na hali yake tu.
Ukimpenda mtu, anakuona huna pa kwenda. Muache sasa hee unajiuliza nimebadilika nini jamani 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🤣🤣🤣🤣
Moyo huwa unauma Sana kusikia Baba Jane bye bye.

Hapo unatamani walau siku zirudi Nyuma uweze kurekebisha makosa lakini ndiyo haiwezekani tena.

Tena unakuta sijui ulikuwa humu hudumii sawasawa huyo mrembo baada ya kuachana nawe ndiyo unakuta Shape ndiyo linatoka hasa mtoto amenawiri, ngozi laini kama amepakwa asali Kutoka Misri ya Kale 🤗
 
Moyo huwa unauma Sana kusikia Baba Jane bye bye.

Hapo unatamani walau siku zirudi Nyuma uweze kurekebisha makosa lakini ndiyo haiwezekani tena.

Tena unakuta sijui ulikuwa humu hudumii sawasawa huyo mrembo baada ya kuachana nawe ndiyo unakuta Shape ndiyo linatoka hasa mtoto amenawiri, ngozi laini kama amepakwa asali Kutoka Misri ya Kale 🤗
Akhsaaannteeeeeeeeeehhhhh Leo umechachukaaaa vibayaaaa umechafukwaaaaaa😂😂😂😂! Kwa sauti ya Wigelekelo 🤣🤣🤣🤣
 
Umenyooshwaaaa ipasavyooo, umekomaa na umekomaa tenaa.
Vipii nikupokeee mie kusebenzana na wa humu?

Nakwambia
! Mbona mimetuliza mshono shosteeeeee😁😁😁🤣!
Nipokeeee shostiiiiiii nipokeeee humu trenaa hapana hapana!! sitrakiii tenaaa 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌!!
 
Back
Top Bottom