Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wanasema Kuna watu wahajui kuacha Wala kuachika.

Ukidate na mtu wa hivyo hata kama alikununuliaga Kiwanja au alikupelekea matofali Site mkiachana anakuja kuyabeba kabisa.

Na kama alikufungulia biashara anakuja kuihamisha kabisa.

Watu wa hivi ikitokea mmeachana ndiyo anakusemea mapungufu mara Kibamia sijui ukipiga kimoja chali n.k

Bora sisi tumezeeka, tumeamua kujipumzikia tu 🙈
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nacheka kama mzuri, umenikumbusha mtu ambaye hajamove on, mwaka sijui wa 10 naa sasa dah. Usiombee mtu wa hivyo maishani mwako.
Maana yeye akili yake, inamtuma ipo siku mtarudiana tu.
Halafu wewe hata wazo naye huna, hapo ndiyo utajuta kumjua 🤦‍♀️
 
Wanasema Kuna watu wahajui kuacha Wala kuachika.

Ukidate na mtu wa hivyo hata kama alikununuliaga Kiwanja au alikupelekea matofali Site mkiachana anakuja kuyabeba kabisa.

Na kama alikufungulia biashara anakuja kuihamisha kabisa.

Watu wa hivi ikitokea mmeachana ndiyo anakusemea mapungufu mara Kibamia sijui ukipiga kimoja chali n.k

Bora sisi tumezeeka, tumeamua kujipumzikia tu
Kuna mtu niliona alichukua vitu vyote vya ndani yaani vyote yule dada ilibidi aanze kulalalia kanga
 
Back
Top Bottom