Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Good morning Selfika β˜•πŸ©View attachment 2484377
Ajajajajajajajajajajajajajaja! Weee mwanamke una balaaa sio dogo ujuee😘😘😘😘😘😘😍!
Chuchu saa sitaaa😍😍😍😍😍!

Looking so muuaaaaahhh😘😘😘😘😘😘😘
 
Ajajajajajajajajajajajajajaja! Weee mwanamke una balaaa sio dogo ujuee😘😘😘😘😘😘😍!
Chuchu saa sitaaa😍😍😍😍😍!

Looking so muuaaaaahhh😘😘😘😘😘😘😘
Thanks my love Antonnia mtoto mwenye shepu lake la Kinyarwanda 😍😍😍😍😍😍😍
 
Thanks my love Antonnia mtoto mwenye shepu lake la Kinyarwanda 😍😍😍😍😍😍😍
😘😘😘😘😘😘😍!
Lol Mnyarwanda wa Nyakibimbirii hukuuu kipenzi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£!
U Hali gani kipenzi!!
 
Hata nikiwa Sina chakula isinifanyie kusahau, ulinilisha nikasaza.

Hata nikiwa Sina mavazi, isinifanye nikufuru nakusahu umeniweka hai.

Ona wapo marafiki wanakosa kula na kuvaa, hawalalamiki wanakushukuru tu.

Mimi eeh nilikupa nini Baba Cha kunipa kibali kwa siku zilizofurahisha.

Tabu kidogo zisifanye nikusahau, umeshatenda mengi nikiwa hapa.

Shida itapita, bado kidogo, ikiwa nitachoka niinue.

Nipe kukumbuka wema x2
Nipe kukumbuka wema wako 🎢

Nipe Song by Goodluck Gozbert

Sometimes We should be thankful despite of whatever situation we are passing throughπŸ™

Hello Tuesday πŸ₯‚πŸ€—
IMG_20230117_121758_896.jpg
 
Nimepita kutoa salam, msalimie pia madam Bantu Lady, na wengine wanaosongesha selfika.
Saramu zimefika mkuu usijareeee Beautiful Onyinye Bantu Lady pokea saramu zako pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!! Wabheja sana mkuu
Acha tuendelee kuselfika tyuuu✌️✌️✌️ in kurya voice 😎😁!
 
Hata nikiwa Sina chakula isinifanyie kusahau, ulinilisha nikasaza.

Hata nikiwa Sina mavazi, isinifanye nikufuru nakusahu umeniweka hai.

Ona wapo marafiki wanakosa kula na kuvaa, hawalalamiki wanakushukuru tu.

Mimi eeh nilikupa nini Baba Cha kunipa kibali kwa siku zilizofurahisha.

Tabu kidogo zisifanye nikusahau, umeshatenda mengi nikiwa hapa.

Shida itapita, bado kidogo, ikiwa nitachoka niinue.

Nipe kukumbuka wema x2
Nipe kukumbuka wema wako 🎢

Nipe Song by Goodluck Gozbert

Sometimes We should be thankful despite of whatever situation we are passing throughπŸ™

Hello Tuesday πŸ₯‚πŸ€—
View attachment 2484487
Kumbe babuu Unajua kuimba hivo??

Hongera na Inapendeza sana kuona unamtukuza mungu granpa!!
Barikiwaaaaa✌️✌️✌️!
 
SIngle and happy 😊😊😊
Wabongo wengi hutegemea baada ya kuachana mmoja ashindwe Kula/Akonde na afe kabisa.

Ikiwa kinyume chake (Single and Happy) wengi huumia.

Binafsi huwa nawaombea MaX wangu wafanikiwe na wawe na Amani kwenye mahusiano yao mapya na kama good time wapate kuliko Ile amewahi kuipata kwangu.

Na ikitokea amepata Mume wa Kumuoa, Mchango wa Harusi natoa na kama hana Bajeti ya Shela akiniomba kumlipia nitamlipia.

Yanini kununiana na Mtu mliyespend pamoja Miezi/Mwaka pamoja mkichunguliana πŸ™ˆπŸƒπŸƒ
 
Wabongo wengi hutegemea baada ya kuachana mmoja ashindwe Kula/Akonde na afe kabisa.

Ikiwa kinyume chake (Single and Happy) wengi huumia.

Binafsi huwa nawaombea MaX wangu wafanikiwe na wawe na Amani kwenye mahusiano yao mapya na kama good time wapate kuliko Ile amewahi kuipata kwangu.

Na ikitokea amepata Mume wa Kumuoa, Mchango wa Harusi natoa na kama hana Bajeti ya Shela akiniomba kumlipia nitamlipia.

Yanini kununiana na Mtu mliyespend pamoja Miezi/Mwaka pamoja mkichunguliana πŸ™ˆπŸƒπŸƒ
Umemaliza yote πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ» hiyo ndiyo inatakiwa kuwa. Una roho ya kizungu Kaka, uendelee na moyo huohuo... I wish wanaume wote wa kibongo waisome hii πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ
 
Umemaliza yote πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ» hiyo ndiyo inatakiwa kuwa. Una roho ya kizungu Kaka, uendelee na moyo huohuo... I wish wanaume wote wa kibongo waisome hii πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ
Yani ni Kuna watu ni wanakompliketi sana maisha dear!!
 
Back
Top Bottom