valent
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 664
- 878
hizi ni shida za wazungu, sisi watu wa bara giza tunakuwaje na hizi fears!
Jamani
Mimi huwa nina tatizo moja, muoga sana mvua!!
Yaaaniii ikinyesha sipo nyumbani huwa nalia, naogopa sanaa!! Leo kilichotokea Mungu anajua!!
Hili la kuogopa mvua sijui linaishaje jamani!! Mniombee mimi
hata hii comment tu ni uthibitisho tosha kuwa umetoka kutafuna tayari
Sijambo mkuuVigezo na mashart kuzingatiwa.
Hujamboo
Asante sana jamani huniePole kipenzi
Asante sana jamaniPole sana jamani
Wakishua unadeka jamani...haya pole wee ila me uwa naogopa radi tuJamani
Mimi huwa nina tatizo moja, muoga sana mvua!!
Yaaaniii ikinyesha sipo nyumbani huwa nalia, naogopa sanaa!! Leo kilichotokea Mungu anajua!!
Hili la kuogopa mvua sijui linaishaje jamani!! Mniombee mimi
Hata sijui huwa nini huhappen akii, huwa najipataga tuu nalia! Tena bora iwe mchana ikikuwa time ya jioni daaaahhh!! Don't want think about it!!that is ombrophobia...
lakinihizi ni shida za wazungu, sisi watu wa bara giza tunakuwaje na hizi fears!
Ungejua mekulia ushagoo, mechunga mbuzi mimi na ng'ombe kama zote!!Wakishua unadeka jamani...haya pole wee ila me uwa naogopa radi tu
, he'll be there for you
Hata sijui huwa nini huhappen akii, huwa najipataga tuu nalia! Tena bora iwe mchana ikikuwa time ya jioni daaaahhh!! Don't want think about it!!
Serious?! Sasa kwanini ulie?Ungejua mekulia ushagoo, mechunga mbuzi mimi na ng'ombe kama zote!!
Hii nakumbuka ilinianza kipindi nachunga mbuzi huko maporini mvua zikinyesha naswaga mbuzi nalia mpaka nafika kwa nyumba
come on...
Asante sana jamani
Huwa unaniombea eti mdogo wangu mzuri mzuri
MmmhhhInasababishwa na past experiences, maybe ushawahi ona radi ikiharibu mahali, ama mafuriko au hata ile misauti ya radi inayoogopesha...
Wenyewe wazungu wanakwambia ni moja ya phobia, so inakuwa treated na psychotherapies au madawa yale ya anti-anxiety...
Ila kwetu Afrika hizi mambo za kutreatiana hivi hakuna...however, next time when it rains na inakupata we upo outdoors, just call yo, he'll be there for you

Namshukur Mungu mamito nakimbizana na majukumu kibabe,nambieAsante sana jamani hunie
Habari za wewe eti