Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jamani
Mimi huwa nina tatizo moja, muoga sana mvua!!

Yaaaniii ikinyesha sipo nyumbani huwa nalia, naogopa sanaa!! Leo kilichotokea Mungu anajua!!

Hili la kuogopa mvua sijui linaishaje jamani!! Mniombee mimi
 
Yaani sina hata hamu wanatucheleweshaga hadi siyo vizuri,, main campus yao tarehe 22 kule kwetu tarehe 29 huwa zinapishana wiki moja kila mwaka..

Ila hata mie nilijua sie ndiyo wa mwisho kumbe siyo kuna mtu juzi kaniambia eti hata MUST yao bado hadi tarehe 14 december,, we kwani kuwa wa mwisho ni raha??
Tar ngapi? Ila MU mnakuwaga wa mwisho mwisho nyie hadi raha
 
Yaani sina hata hamu wanatucheleweshaga hadi siyo vizuri,, main campus yao tarehe 22 kule kwetu tarehe 29 huwa zinapishana wiki moja kila mwaka..

Ila hata mie nilijua sie ndiyo wa mwisho kumbe siyo kuna mtu juzi kaniambia eti hata MUST yao bado hadi tarehe 14 december,, we kwani kuwa wa mwisho ni raha??
Doh! Mpaka dec tena hao nao vipi!!

Kuwa wa mwisho raha...ushazungukia za wenzio afu unamalizia kwako. Mwisho graduation lakini huko kwingine mwisho unakuwaga sio mzuri
 
Back
Top Bottom