Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,487



si nasikia kuna mabingwa wa kutoa emoji kwa picha,, ndiyo wafanye mafrekechee hapo wasituchoshe sie tumeshatuma picha kazi kwao..



si nasikia kuna mabingwa wa kutoa emoji kwa picha,, ndiyo wafanye mafrekechee hapo wasituchoshe sie tumeshatuma picha kazi kwao..
Kwanza nimefurahia vile hujasahau
Mpango tufanye dec mwishoni au Jan mwanzoni?
Haha uwezo huo hawanasi nasikia kuna mabingwa wa kutoa emoji kwa picha,, ndiyo wafanye mafrekechee hapo wasituchoshe sie tumeshatuma picha kazi kwao..
Tar ngapi? Ila MU mnakuwaga wa mwisho mwisho nyie hadi rahaJanuary tu dada,, halafu vipi sasa graduu unakuja au??
😂😂😂😂hata mie nimemshitukia
Jamani hadi nimecheka...me mwenyewe changu kirefu kama panga, ila jaribu kunyoa afro nina uhakika itakutoa
Khaaaah!! Hili liemoji ndio kutukomoa?
Ndio.
Mapinduzi day.
HahahaahhDada mzurinaona kiflat tummy
Nina low cut ya rough dreads for years; ukiniona nataradadi utasema kichwa kama cha atoto. Hiyo style yenu nahisi itanichoresha chogo sana





Mdomo unapingana na nafsi.Mmhh,, hivi kwanza sijui hata kwanini naendelea kukusikiliza wakati nilishasema sikuamini..



Pls do the needful 😘Nina low cut ya rough dreads for years; ukiniona nataradadi utasema kichwa kama cha atoto. Hiyo style yenu nahisi itanichoresha chogo sana
😂😂😂
Acha uoga, nakuja next month kukupeleka ukanyoe.
Wewe hapo.
Acha uoga, nakuja next month kukupeleka ukanyoe.