Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Naomba mnisaidie ni namna gani wanahifadhi mahindi na ni dawa gani nzuri kuhifadhia mahindi Kwa muda mrefu na yakawa mazuri
Mshana Jr
ERoni
Antonnia na wengine ambao mnafahamu mnipe maujuzi
Kuna dawa za mahindi, ukienda kwenye duka la pembejeo watakupa

Pia kuna mifuko Fulani hivi, yenyewe haina haja ya kuweka dawa mahindi.
Unayahifadhi hivyohivyo.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Naomba mnisaidie ni namna gani wanahifadhi mahindi na ni dawa gani nzuri kuhifadhia mahindi Kwa muda mrefu na yakawa mazuri
Mshana Jr
ERoni
Antonnia na wengine ambao mnafahamu mnipe maujuzi
Ni mengi kiasi gani, mimi nahifadhi(ya kula na familia) kwenye drums, nahakikisha hakuna hewa inayoingia nafunga na mfuniko hata mwaka hayaguswi na mdudu, sitii dawa yoyote.
 
Naomba mnisaidie ni namna gani wanahifadhi mahindi na ni dawa gani nzuri kuhifadhia mahindi Kwa muda mrefu na yakawa mazuri
Mshana Jr
ERoni
Antonnia na wengine ambao mnafahamu mnipe maujuzi
Kwetu zaman vijijin/swekeni Kuna namna/njia za asili naona Wazee walikuwa wanahifadhi!

Kwanza huwa wanaangalia mwezi,,, hapa nadhan wanazingatia mwez ukitoka tu ndo tar nzuri,,,,

Mahindi yanawekwa kwenye Yale magunia flani ya katani,,,, yanashonwa vyema alafu yanawekwa sehem ya juu,,, mfano kwenye sakafu, kichanja, ama unaweza kupanga mawe, au mbao,,, wakishaweka Kuna vimajani flan wanachukua wanachoma hayo magunia kwa nje,,,Kama kisindano flani !

Hata miaka 10 mdudu hawezi kusogelea !!!!

Back in days
 
dba4a9d18efa888f4d0ce497783ce6ce.jpg
 
Aah eeh! Nikuite nani?
Majina yote nishamaliza
Aah eeh! Wangu wa ubani
Umeweza kunituliza

Aah eeh! Mambo ya chumbani
Yaani nalala huku napulizwa
Aah eeh! Penzi zito tani
Napewa raha kupitiliza
Aririiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiih
Miee napendwaaaaaaa!!!
 
Huyo lazima siku zake za period zilikuwa zimekaribia. Siku moja, mbili na hata tatu mbele na pengine alikutana na mjulubeng wa kueleweka...huwa inatokea sana hii bao la kwanza tu mtu bado unatafuta rhythm unakuja kushtuka damu hizi hapa...Halafu utasikia oooh nilikuwa najua period itaanza keshokutwa...I am sorry na bla bla zingine
 
Kwetu zaman vijijin/swekeni Kuna namna/njia za asili naona Wazee walikuwa wanahifadhi!

Kwanza huwa wanaangalia mwezi,,, hapa nadhan wanazingatia mwez ukitoka tu ndo tar nzuri,,,,

Mahindi yanawekwa kwenye Yale magunia flani ya katani,,,, yanashonwa vyema alafu yanawekwa sehem ya juu,,, mfano kwenye sakafu, kichanja, ama unaweza kupanga mawe, au mbao,,, wakishaweka Kuna vimajani flan wanachukua wanachoma hayo magunia kwa nje,,,Kama kisindano flani !

Hata miaka 10 mdudu hawezi kusogelea !!!!

Back in days
Huku kwetu tunahifadhi kwenye kihenge mahindi yakishavunwa.,ili yakauke vizuri.
Wakati yanasubiri hatuna za kupukuchua ndio yanakaa kwenye vihenge

Tukishaoukuchua sasa ndio dawa inapigwa kwa ajili ya kuweka kwenye mifuko.

Hii mifuko ya kisasa imerahisisha mambo,hatupigi Tena dawa mahindi.
 
Back
Top Bottom