Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huku kwetu tunahifadhi kwenye kihenge mahindi yakishavunwa.,ili yakauke vizuri.
Wakati yanasubiri hatuna za kupukuchua ndio yanakaa kwenye vihenge

Tukishaoukuchua sasa ndio dawa inapigwa kwa ajili ya kuweka kwenye mifuko.

Hii mifuko ya kisasa imerahisisha mambo,hatupigi Tena dawa mahindi.
Yeah Ni kweli,,, hii mifuko inasaidia Sana kwa Sasa ! Kwetu pia zaman vihenge vilikuwa vinatumika
 
Huku kwetu tunahifadhi kwenye kihenge mahindi yakishavunwa.,ili yakauke vizuri.
Wakati yanasubiri hatuna za kupukuchua ndio yanakaa kwenye vihenge

Tukishaoukuchua sasa ndio dawa inapigwa kwa ajili ya kuweka kwenye mifuko.

Hii mifuko ya kisasa imerahisisha mambo,hatupigi Tena dawa mahindi.
Haswaaaaaah, hakika ukanda wa juu kisini, ni wakulimaa.
Hata kwetu pia.
 
Back
Top Bottom