Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwetu zaman vijijin/swekeni Kuna namna/njia za asili naona Wazee walikuwa wanahifadhi!

Kwanza huwa wanaangalia mwezi,,, hapa nadhan wanazingatia mwez ukitoka tu ndo tar nzuri,,,,

Mahindi yanawekwa kwenye Yale magunia flani ya katani,,,, yanashonwa vyema alafu yanawekwa sehem ya juu,,, mfano kwenye sakafu, kichanja, ama unaweza kupanga mawe, au mbao,,, wakishaweka Kuna vimajani flan wanachukua wanachoma hayo magunia kwa nje,,,Kama kisindano flani !

Hata miaka 10 mdudu hawezi kusogelea !!!!

Back in days
Hii ni noma ila ya kuweka juu nishawahi ona mahali wametumia kuhifadhia mpunga
 
Back
Top Bottom