Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dunia Ina viumbe hii ila Hawa ni waainayakesikumoja nilikuwa Kijiji Fulani Kwa nasubir usafir wakapita wakasimama na magari Yao wanakunywa chai mm nilikuwa stand pekeyang mmoja akanisalimia akauliza napoenda nwao wanapita huko akanambia twende ningesave nauli kma 20k nikawaza story ya kupelekeana moto nikawaambia hapna kunamtu namsubirjamaa wakatili sana
Hukukimbiaaaa? Ningetimua mbiooo mie hapoooo.
 
Ongezaaaa sautiiiii mume wanguuu, hawakusikiii.
Tenaa uwaambiee wazi, jimbo lina mmiliki.

Afu shida ndogo ndogo sio zetu
Nakupendraaaaaaaaaaah

Aah eeh! Nikuite nani?
Majina yote nishamaliza 🎶
Aah eeh! Wangu wa ubani
Umeweza kunituliza🎼🎶

Aah eeh! Mambo ya chumbani
Yaani nalala huku napulizwa
Aah eeh! Penzi zito tani
Napewa raha kupitiliza🎶🎶🕺🕺
 
Hata wauza mkaa huku mtaani wanawapanga tu sema wajeda nishawahi sikiaga mahali mdada alipelekewa moto had akaingia period
Huyo lazima siku zake za period zilikuwa zimekaribia. Siku moja, mbili na hata tatu mbele na pengine alikutana na mjulubeng wa kueleweka...huwa inatokea sana hii bao la kwanza tu mtu bado unatafuta rhythm unakuja kushtuka damu hizi hapa...Halafu utasikia oooh nilikuwa najua period itaanza keshokutwa...I am sorry na bla bla zingine
 
Huyo lazima siku zake za period zilikuwa zimekaribia. Siku moja, mbili na hata tatu mbele na pengine alikutana na mjulubeng wa kueleweka...huwa inatokea sana hii bao la kwanza tu mtu bado unatafuta rhythm unakuja kushtuka damu hizi hapa...Halafu utasikia oooh nilikuwa najua period itaanza keshokutwa...I am sorry na bla bla zingine
😀Mjulubenga huo had kuikorokocha😀damu ije haraka si mchezo
 
Back
Top Bottom