Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Muhenga mwenzangu, unaujua ule wimbo wa Mwana FA na AY... Nasubiri ageuke...
Unadhani aligeuka basi? Imeisha hiyooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya bana. Ngoja nikale sambusa yangu maana tangu asubuhi tuko wote hapa tunasubirisha ugeuke. Halafu eti wimbo wa Mwana FA na AY. Mimi nawafahamu hao akina mwana FA?

Jioni njema mpendwa na ubarikiwe sana. Thanks for the jokes [emoji1545]
IMG_20200110_155935_837.jpg
 
Haya bana. Ngoja nikale sambusa yangu maana tangu asubuhi tuko wote hapa tunasubirisha ugeuke. Halafu eti wimbo wa Mwana FA na AY. Mimi nawafahamu hao akina mwana FA?

Jioni njema mpendwa na ubarikiwe sana. Thanks for the jokes [emoji1545]
View attachment 2477566
Naomba sambusa, inaonyesha tamu, halafu kubwa na ilivyojimegua hivyo 😋😋😋😋😋😋
 
Back
Top Bottom