Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,419
Hebu geuka bana tumalize hii ishu pulizi. Mbona hivyo lakini?Pole sananacheka
kama mazuri... tubless na kaselfie ka jioni basi...
Hebu geuka bana tumalize hii ishu pulizi. Mbona hivyo lakini?Pole sananacheka
kama mazuri... tubless na kaselfie ka jioni basi...
Nenda tu mkuu. Mi napambana mtu ageuke hapa nawe unaleta za kuleta hata hunisaidiiNaona story tu humu saa hz,nitarudi baadae


Muhenga mwenzangu, unaujua ule wimbo wa Mwana FA na AY... Nasubiri ageuke...Hebu geuka bana tumalize hii ishu pulizi. Mbona hivyo lakini?
Haya bana. Ngoja nikale sambusa yangu maana tangu asubuhi tuko wote hapa tunasubirisha ugeuke. Halafu eti wimbo wa Mwana FA na AY. Mimi nawafahamu hao akina mwana FA?Muhenga mwenzangu, unaujua ule wimbo wa Mwana FA na AY... Nasubiri ageuke...
Unadhani aligeuka basi? Imeisha hiyooo![]()

hahahaha, anageuka huyo,ongeza bidiiiNenda tu mkuu. Mi napambana mtu ageuke hapa nawe unaleta za kuleta hata hunisaidii![]()
dahMuhenga mwenzangu, unaujua ule wimbo wa Mwana FA na AY... Nasubiri ageuke...
Unadhani aligeuka basi? Imeisha hiyooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Naomba sambusa, inaonyesha tamu, halafu kubwa na ilivyojimegua hivyo 😋😋😋😋😋😋Haya bana. Ngoja nikale sambusa yangu maana tangu asubuhi tuko wote hapa tunasubirisha ugeuke. Halafu eti wimbo wa Mwana FA na AY. Mimi nawafahamu hao akina mwana FA?
Jioni njema mpendwa na ubarikiwe sana. Thanks for the jokes
View attachment 2477566
Nimefeli aisee...hahahaha, anageuka huyo,ongeza bidiii

Ilivyojimegua eeeh! 😋Naomba sambusa, inaonyesha tamu, halafu kubwa na ilivyojimegua hivyo![]()
hahahaha,ucjali,siku nyingineNimefeli aisee...
Safari nyingine ukiona mwenzio anapambana nawe utoe assist na siyo kuanza kuaga aga![]()
Poa Colonel 🤝hahahaha,ucjali,siku nyingine
🤣🤣🤣Pole kama nitageuka, nitakutag sawa eeh. 😄😄😄😉😉
Hivi ile birthday ya bibie ndo siku mbili hizi eh?Huku kumekucha vema jirani
Uwiii usimkumbushe asije nidai zawadi yake na sina hata miaHivi ile birthday ya bibie ndo siku mbili hizi eh?
Uwiii usimkumbushe asije nidai zawadi yake na sina hata mia
mbona utakomaSitaishi kwa amani, ni maombi yangu asione tu hiyo comment yakombona utakoma
Hahaaa we jiandae kisaijolojia tuSitaishi kwa amani, ni maombi yangu asione tu hiyo comment yako