Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,508
- 8,720
haha mno; na kamati yetu ya maafa ya tetemeko. Magu ndo alikuja kutufyekelea mbali. Tukarudi mjini tukiwa tumenuna.Uko vizuri kumbe geografia yakule uliinyaka vizuri!!
haha mno; na kamati yetu ya maafa ya tetemeko. Magu ndo alikuja kutufyekelea mbali. Tukarudi mjini tukiwa tumenuna.Uko vizuri kumbe geografia yakule uliinyaka vizuri!!
Kwa kahawa na tende pembeniKwa chai ya rangi, maziwa na kahawa ☕ mapishi yangu 💃View attachment 2475943
Yes, mboga inaleta ladha nzuri pure coconut.Ooh vizuri
pure coconut kwenye mboga hivi ndo inanoga .
Nice oneNimeipenda hii:
Huko nyuma katika siku ambazo Ujerumani iligawanywa, ukuta mkubwa ulitenganisha Berlin ya Mashariki na Magharibi.
Siku moja, baadhi ya watu katika Berlin Mashariki walichukua shehena ya lori la taka na kuzitupa upande wa Berlin Magharibi.
Watu wa Berlin Magharibi wangeweza kufanya jambo lile lile, lakini hawakufanya. Badala yake walichukua shehena ya lori la bidhaa za makopo, mkate, maziwa na vyakula vingine, na kuvipanga vizuri upande wa Berlin Mashariki. Na juu ya safu hii waliweka bango hili
“KILA MMOJA HUTOA ALICHO NACHO”
Huh ni ukweli mtupu! Unaweza tu kutoa kile ulichonacho.Una nini ndani yako?
Ni chuki au upendo?
Jeuri au amani?
Kifo au uzima?
uwezo wa kujenga au uwezo wa kuharibu?
Umepata nini kwa miaka mingi?
"KILA MMOJA HUTOA ALICHONACHO"
Fikiria juu yako!
Kuwa na siku njema!![]()
🤩🤩🤩🤩asante sana.ngoja niangaze angaze naweza kuona kapicha kako🤣gonzare karibu sana katika uzi pendwa .
hahahaa sina mood ya picha sasa .🤩🤩🤩🤩asante sana.ngoja niangaze angaze naweza kuona kapicha kako🤣
ukitupia nistue Basi😅hahahaa sina mood ya picha sasa .
jisikie upo nyumbani
Uje mida ya usikuukitupia nistue Basi😅
sawa.lakini ukitupia wewe nistueUje mida ya usiku
ushuhudie uumbaji 😆
will dosawa.lakini ukitupia wewe nistue
Asee Kumbe mtoto mweupe hivi!!? Shingo Kama twiga.
Rangi ya nabii YusuphSubirini nitageuka...🙃😉View attachment 2476464
Usituangushe!Uje mida ya usiku
ushuhudie uumbaji 😆
unaniaminia nn 😆😆Usituangushe!
Nakuaminia jirani.
Aisee beautifulSubirini nitageuka...🙃😉View attachment 2476464
Nani huyo? atakuwa mbaya demu wake tu Huyo!!unaniaminia nn 😆😆
tushachambwa huko kuwa sie wabaya .