Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimeipenda hii:

Huko nyuma katika siku ambazo Ujerumani iligawanywa, ukuta mkubwa ulitenganisha Berlin ya Mashariki na Magharibi.

Siku moja, baadhi ya watu katika Berlin Mashariki walichukua shehena ya lori la taka na kuzitupa upande wa Berlin Magharibi.

Watu wa Berlin Magharibi wangeweza kufanya jambo lile lile, lakini hawakufanya. Badala yake walichukua shehena ya lori la bidhaa za makopo, mkate, maziwa na vyakula vingine, na kuvipanga vizuri upande wa Berlin Mashariki. Na juu ya safu hii waliweka bango hili

“KILA MMOJA HUTOA ALICHO NACHO”

Huh ni ukweli mtupu! Unaweza tu kutoa kile ulichonacho.Una nini ndani yako?

Ni chuki au upendo?
Jeuri au amani?
Kifo au uzima?
uwezo wa kujenga au uwezo wa kuharibu?
Umepata nini kwa miaka mingi?

"KILA MMOJA HUTOA ALICHONACHO"

Fikiria juu yako!

Kuwa na siku njema!
 
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya.

Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati tunakuwa wavivu kujibu hoja kwa maandishi ama kuchangia. Solution hii HAPA sasa. Utashangazwa na matokeo yake...!!!

Utajikuta kwenye ulimwengu wa furaha isiyo kifani. Fanya hivi, hapo ulipo tupia picha yako ya sehemu yoyote mwilini. Epuka picha yenye kuonesha sura kwa sababu za wazi kabisa. Mimi nitaaza na hizi.

Kaka nitumie linki nisome uzi zako zile za elimu ya asili
 
IMG_3197.jpg
 
Back
Top Bottom