Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,253
- 90,453
aisee,hilo andazi litakua tamu sanaHapo na unga wa ngano, mchanganyiko huo unapata maandazi mtu chake
aisee,hilo andazi litakua tamu sanaHapo na unga wa ngano, mchanganyiko huo unapata maandazi mtu chake
Kwaraha zakeee hadaiwi na mtyu wala hatoki na mke wa mtuuuuuu💃💃💃💃🤸🤸🤸🤸😘😘!Na anafauduuuu kweli kweli,![]()
Mungu mwema jirani!Hello jirani
habari ya jnne
Nipo poa vipi wewe ?Mungu mwema jirani!
Unaendeleaje!
Karibu juice ya tende
Usije ukajikuta sentrooo![]()










Mi nasifia tyuuuuu mchawi mpe sifa zakee
!Niko poa;Nipo poa vipi wewe ?
thank you .. itakuwa tamu hiyo .
Niko poa Rafiki habari za wewe!!Na raha ya dera ukilivaa ulishikilie au ulikunje kidogo.
Unaendeleaje madamme
Sema wewe unakaguasiku ilee hukuonaa naweee.
hapo kwa mtumishi au wapiNiko poa;
Ndo ninaipata hapa mawasiliano.
Nikukute stend Sasa apo leo utie baraka
Ula hupendi kuvaa official code??Ilikuwa ni kwenye Wedding party.
Hapo sasa,Kwaraha zakeee hadaiwi na mtyu wala hatoki na mke wa mtuuuuuu!







MuNgu ni mwema!Niko poa Rafiki habari za wewe!!
Haya bana mzima lakini weweukaguzi muhimu.
Aminaa Amina kubwaaaa dear!! Baraka tumezipokea!walimu mbarikiwe sanaaaaa.
Nawapendaaaaa!!![]()
kipenzi cha geniusukaguzi muhimu.
Nisharudi rafiki nipo Nyakibimbirii hukuuu 😁!MuNgu ni mwema!
Umesharudi rwamishenye
Kukagua nini??ukaguzi muhimu.
yametoka vizuriNazi, sukari nikakandia samli kidogo sana. Amira, hiliki, chumvi kidogo sana na banking powder. Sijatumia maji kabisa.