Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tinsley

Dear nimekumic mnooo, kuna mtu yuko hapa kasimama kafanana na wee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Niko hapa Gate kuu la COET, nashangaa wapitaji tyuuh. Huyu dada mbna km ni wee eti. Nashindwa kumpiga picha naogopa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tinsley

Dear nimekumic mnooo, kuna mtu yuko hapa kasimama kafanana na wee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Niko hapa Gate kuu la COET, nashangaa wapitaji tyuuh. Huyu dada mbna km ni wee eti. Nashindwa kumpiga picha naogopa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee duniani wawili
kasura kangu kanafanishwa sana aisee .. yukoje huyo mdada

Miss you too babe .. mmeamkaje huko
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Na kariakoo mkate mnanunua usiku msionekane.

Pale daruso bar unaweka bili ya RB kisha unamshikisha dada flan liten badala ya Kula RB unakula samaki kibua.

Ikabuma wakafukuzwa wote
Yule dada white; mchaga flan Hivi nishakisahau jina.

Kuna kipindi Hali ilkuwa ngumi tukawa tunawazungukia wa pishi wa coet caftelia tunachanga jero jero na Wana Kama buku 2.

Iyo tandamu ya wali na nyama usipime kisha baada ya hapo unachukua kidumu chako enda ku download maji unaganga ya Kesho.
 
Yule dada white; mchaga flan Hivi nishakisahau jina.

Kuna kipindi Hali ilkuwa ngumi tukawa tunawazungukia wa pishi wa coet caftelia tunachanga jero jero na Wana Kama buku 2.

Iyo tandamu ya wali na nyama usipime kisha baada ya hapo unachukua kidumu chako enda ku download maji unaganga ya Kesho.
Wakati gani huo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom