Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Nikimpata bantu lady mbona raha hiyo natulia na kutulia kabisaSasa namna hiyo
Kama huwezi kutulia
Mara paap mzabzab umemdondokea
Si balaa hili
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
😅😅😅sitaki mie tabuuu.
Nitafurahi sanaUkija likizo Kijijini utakuta Bibi yako amekutunzia 🤗
Umepotea nilikumiss😂😂😂Nikimpata bantu lady mbona raha hiyo natulia na kutulia kabisa
Hahha chezea kipenzi cha roho .
Huhuhuh tunawezanaaa!!
Kumbe kuna mahali ukiwa kwenye eneo la 18 huwa unatulia na kunena kwa lugha nilijua tu![]()
Huhuhuh tunawezanaaa!!
Wee mzushi tuu umenimiss wapi wakati pm umenichunia itakuwa umerudiana na yule jamaa yako mpaka unanisahau mie mzabzab.Umepotea nilikumiss😂😂😂
Dahh! National Anthem mzeya umeopoa pisi hatari alafu anaoneka very very flexible🤣🤣🤣🤣
Happy New Year to you too mzabzab 😁😁Dahh! National Anthem mzeya umeopoa pisi hatari alafu anaoneka very very flexible🤣🤣🤣🤣
Mtoto mzuri hujambo wewe
Same to u dear.Happy New Year to you too mzabzab 😁😁
Rafiki yangu nikupendaye sana mzabzab umepotea sana, vipi aliyekula laki 6 yetu ulifanikiwa? 😄😄😄😄😄Nikimpata bantu lady mbona raha hiyo natulia na kutulia kabisa