Yeah I know. Naomba unisamehe mfuniko wangu...Usidanganywe na watu kutochat humu kwa kubebishana...yanayoendelea pembeni shetani ajua.
Bora wengine tunaongea yanaishia hapa
Kamuombe radhi basi pembeni na weweYeah I know. Naomba unisamehe mfuniko wangu...
, jamaa yangu kakereka hadi anatamani mlango ungekuwa wazi aje muongee huko!!
Najua but pm yangu mbovu 😄😄🤣🤣😄 inabidi tu niombe Samahani hapa hapa. Hajajibu kama kanisamehe 😔😔😔 akinisamehe tu. Hizi drama zinaisha.Kamuombe radhi basi pembeni na wewe, jamaa yangu kakereka hadi anatamani mlango ungekuwa wazi aje muongee huko!!
Hivi kuna pm mbovu? Si unafungua tu na kufunga ndani ya dk5Najua but pm yangu mbovuinabidi tu niombe Samahani hapa hapa. Hajajibu kama kanisamehe
akinisamehe tu. Hizi drama zinaisha.

.
Sasa namna hiyoWigeeee nimeamka salama kabisa, mimi nikipenda napenda haswaaa...
Glenn ndiyo pekee alikuwa hubby.. shida yake usiwe na wivu, anao kibao. Ukiuliza anasema huyu hivi huyu vile. Ndiyo niko kwa....
Hawezi kuja pembeni mkuu.Kamuombe radhi basi pembeni na wewe, jamaa yangu kakereka hadi anatamani mlango ungekuwa wazi aje muongee huko!!
Kumbe unajua kuwa nakuogopa. Samahani sana sana sana. Haitajirudia tena. NafutaHawezi kuja pembeni mkuu.
Bantu Lady ananiogopa sana.
Nafikiri napaswa kujitafakari kwanini iwe hivi
Endelea kumsihi aje muyamalize, watu wasiishi kwa vinyongo.Hawezi kuja pembeni mkuu.
Bantu Lady ananiogopa sana.
Nafikiri napaswa kujitafakari kwanini iwe hivi
Hakuna haja mamaKumbe unajua kuwa nakuogopa. Samahani sana sana sana. Haitajirudia tena. Nafuta
Nitafurahi akikusikilizaEndelea kumsihi aje muyamalize, watu wasiishi kwa vinyongo.
Kiungo mchezeshajiEndelea kumsihi aje muyamalize, watu wasiishi kwa vinyongo.
Ndio kijana wa jfKumbe unajua kuwa nakuogopa. Samahani sana sana sana. Haitajirudia tena. Nafuta
😂😂😂😂😂pole sana hukupaswaKumbe unajua kuwa nakuogopa. Samahani sana sana sana. Haitajirudia tena. Nafuta
Mkurya gani unakuwa muoga hivyo?Kumbe unajua kuwa nakuogopa. Samahani sana sana sana. Haitajirudia tena. Nafuta
Mixer na Congo na Zambia. So nimechukua kotekote...
Ndio maana unaringa sanaMixer na Congo na Zambia. So nimechukua kotekote...
Ni umefumaniwa?Yeah I know. Naomba unisamehe mfuniko wangu...
Mkuu mimi huwa ni peacemaker, napenda amani sitaki maugomvi.