Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

View attachment 2468828
Enzi za Uzee wao Mfalme Suleimani na Daudi walipewa Mabinti Vigori kuwasaidia wasife kwa Baridi 🤗

Unfortunately, Wazee siye tumeambiwa eti tule Korosho kujikinga na Baridi, Wacha nizingatie Ushauri tu 🤪
Auuwiiiiiiii babuuuu 😋😋😋😋😋😋😋mate yamenijaaje mdomoni kwa kuona hizo korosho Hapaaa!
Naomba unitumie mjukuu wako nazipenda sana Babuuu!
Nilizila sana likizo kwa bibi Tangu hapo mpaka waleo kama nimerogwa vileee masaa yote natamani korosho!!😋
 
Tunakupa cheo cha Babu mshauri selfika 😂😂!

Kam kauwaaaa kuanzia palizi hadi mavuno lazima wajukuu tuje kumsaidia bibi nyie mpumzike!!
Hahaha......................kwamba Mimi na Wazee wenzangu hapa tutakuwa tunawashauri Vijana?

Sina hakika kama utapenda kushauriwa na Babu yako kwa aina ya Ushauri naotoa🤗

Last time Kuna Mjukuu alikuja kuomba ushauri eti Mke wake hamuheshimu kama zamani, nikamwambia Dawa ya Mwanamke ni Mwanamke.

Kwahiyo muolee Mke wa pili, Juzi huyo Mjukuu kaniandikia barua akinishukuru kuwa Mke wake tangu amwambie kuhusu suala la kumuolea Mke wa pili amebadirika na anampenda na kumheshimu kuliko awali 🤪🏃🏃🏃🏃
 
Hahaha......................kwamba Mimi na Wazee wenzangu hapa tutakuwa tunawashauri Vijana?

Sina hakika kama utapenda kushauriwa na Babu yako kwa aina ya Ushauri naotoa🤗

Last time Kuna Mjukuu alikuja kuomba ushauri eti Mke wake hamuheshimu kama zamani, nikamwambia Dawa ya Mwanamke ni Mwanamke.

Kwahiyo muolee Mke wa pili, Juzi huyo Mjukuu kaniandikia barua akinishukuru kuwa Mke wake tangu amwambie kuhusu suala la kumuolea Mke wa pili amebadirika na anampenda na kumheshimu kuliko awali 🤪🏃🏃🏃🏃
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mke wa pili tenaaa weeeehh!! mbona ulimkomesha babu ushauri Nuksi sana huo lazima heshima irudiiii kwakweli hakuna anaependa kushea babuu!!
Huo ushauri wakoKumbe hufaiii wewee😁😁😁
 
Auuwiiiiiiii babuuuu 😋😋😋😋😋😋😋mate yamenijaaje mdomoni kwa kuona hizo korosho Hapaaa!
Naomba unitumie mjukuu wako nazipenda sana Babuuu!
Nilizila sana likizo kwa bibi Tangu hapo mpaka waleo kama nimerogwa vileee masaa yote natamani korosho!!😋
Ngoja niongee na Bibi yako akutumie kwa Basi 🤗
 
Back
Top Bottom