Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,209
- 40,649
Kidole hakina Pete,basi sawa
Kidole hakina Pete,basi sawa
☺️☺️☺️Hujaenda kazn au Ni tbt
sexy body![]()
Ntajinunulia basi.Kidole hakina Pete,basi sawa
Njoo nikupe kazi
Ndo nasubiria kazi zijitokeze![]()

Jamani sijakuchunia nilipata mpya nimeachwa Tena njoo bas tupeane ubuyu😂😂😂yule single mother wako vipi amehamia tayari😂😂Wee mzushi tuu umenimiss wapi wakati pm umenichunia itakuwa umerudiana na yule jamaa yako mpaka unanisahau mie mzabzab.
Kwema lakini mrembo?
Gani?? Wapi?? Sh. ngapi???Njoo nikupe kazi![]()
Hapa hapa mjini! Mkulima hachagui jembe tukakubaliana ukikujaGani?? Wapi?? Sh. ngapi???

Kuchagua muhimu.Hapa hapa mjini! Mkulima hachagui jembe tukakubaliana ukikuja![]()
Hapana utakuwa umekosea sana,subiria wakati wenyewe ukifika....ukijinunulia kidole utakichosha sanaNtajinunulia basi.
Mgonjwa kawa kimya sanaAntonnia babe unaendeleaje na hali yako? Unamisika![]()
Kuchagua muhimu.
After all...siwezi kutumia kajembe kadogo kakulimia bustani kulima shamba.![]()

ishu sio kajembe ,,,mkulima awe anajua kukatumia tu utashangaa hekari kadhaa zimelimwa, kazi Kwako karibu
Atakuwa kapumzika, pamepoa leo huwa anakuwa kiranja Mkuu humu, panachangamka.Mgonjwa kawa kimya sana
Sure,,, alisema hayuko powa, mpigie manually if possible !Antonnia babe unaendeleaje na hali yako? Unamisika![]()
Hii ndio kama zile biashara za bei siri 🤓🤓ishu sio kajembe ,,,mkulima awe anajua kukatumia tu utashangaa hekari kadhaa zimelimwa, kazi Kwako karibu
Kabisa mjumbe kokote ulipo pitia hukuAtakuwa kapumzika, pamepoa leo huwa anakuwa kiranja Mkuu humu, panachangamka.
Hapa kwa mahaba, umefika babe mpaka utajiuliza ulichelewa wapi.