Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Na hakuna kituNgoja ajeeee utapambana nae mie simoooooo
!!
Anaweza fanya
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Na hakuna kituNgoja ajeeee utapambana nae mie simoooooo
!!
Eeeh huyo bado anaipenda sijui kwann?
Sijajua Ngoja niulizie nimeona hayo kwenye grupu la shule!!!La nne tayari??
Tena best? 😄😄😄😄😄 Jack Palladino soma hiyooo
Dear ex tukirudiana utawezana?My ex nimeachwa rasmi, turudiane au?![]()
Ndio ujue wengi hawanitakii mema!Tena best? 😄😄😄😄😄 Jack Palladino soma hiyooo
Ulizaliwa nae?Shoga angu naachwa hapohapo... Sijui nitaanzia wapi kumpata kama yeye tena achaaaaaa
Mhh Bantu Lady unamsikia huyu?Dear ex tukirudiana utawezana?
Sukuma gang Vs Zunguuuu💪🤣🤣🤣🤣Tena best? 😄😄😄😄😄 Jack Palladino soma hiyooo
Hivi unajua mm ni sukuma pia tena chapa ya ng'ombe kabisa!
Kichwa hiyo poaHio Kichwa tyu veepeee??? Ingiza mchumaaa asikuzoeee kabisa!!
Mie fleva Zangu agedddddd ishanipata na imejua kunikoleza na kunituliza kweri kweri!!
Weee kweli??? Ushamkua mzunguu kabisa Wewe hata mambo yako ya kizungu zungu lect Bantu Lady achana wa wabongoo nenda zako ulaya mamberee hukooHivi unajua mm ni sukuma pia tena chapa ya ng'ombe kabisa!
Msukuma baby wako humu nani?Kichwa hiyo poa
Kinacheza ndomboro
Kuitengeneza horombo dam
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Bantu Lady sijui anafeli wapi?Weee kweli??? Ushamkua mzunguu kabisa Wewe hata mambo yako ya kizungu zungu lect Bantu Lady achana wa wabongoo nenda zako ulaya mamberee hukoo
Chiziiiii wewee! Hakii Wige Akili zako unazijua mwenyeweKichwa hiyo poa
Kinacheza ndomboro
Kuitengeneza horombo dam
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Wige kwani mpaka uzaliwe naye? Naachaje Tall, white and handsome, rich 😋😋 msafi ile mtanashati, msomi ni Eng wa.... mguu wa mtoto 🤣🤣🤣🤣 Romantic na zaidi kafa kaoza. Sasa naanza tafuta aina hii naipata wapi tena. 😍😍😍😍
Tuliweka Nyuzi moja sasaMbavu zangu hukuuu ! Hebu nicheke miyeeeeeeeeee
!!
Jf sihamiiiiii![]()





watu weuweeeeeeeeee!!! Kwendraaaaaa huko nyokooooooo weee.Vishanikojolea uji wa uzima nimedatttaaaa huniambii kitu!!







Mademu wa kikurya