Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Utaliwa mpaka nini eti
πŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Nimeona unavyoshoboka

Mzee nuksi huyo

Uzuri wake akitia ulimbo

Kifuatacho ni kimya kimya

Nasubiri siredi yako yenye kichwa kisemacho

Sijawahi ku cheat.. my foot

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Muache babuu ainjoyy maisha kwa Binti wa kikurya wige hutaki amalizie uzee wake vizuri???
 
Asante luv. Anafatilia maana ni mtu mwenye wivu sana. Ni kijana but nachoshukuru ana hekima sana. Bila hivyo akiona kitu hajapenda, atauliza.
Sababu maisha ya kawaida miye ni mwaminifu, so vya huku anajua nahave fun tu.
Sema hajakutana na comment zangu za kuflirt atakufwaaaaa
Tena akute una flirting na Jack palladino
 
Back
Top Bottom