Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
π€£π€£π€£ππππππππππ€£
π€£π€£π€£ππππππππππ€£
Wasambazie mkuu...upendo muhimu.Nasambaza upendo madam
ππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Utaliwa mpaka nini eti
PreseeeeennnttttttβββββπHalafu wewe
Kwamba asijiachia sana wana sio watu wazuri sio
WeeehNimeandika na kufuta mara 3,mimi kwangu hata sikuwazaga kuja kuwa na mtu humu. Kwa mika 9 niliyokuwa humu. Tunaonaga ni Mungu tu alipanga.
Maana mazingira yaliyotufanya tujuanekati yetu hakuna aliyewaza kama leo tutakuwa hapa. Humu JF naishi naye kama hatujuani kabisa basi
No CC Antonnia
Muache babuu ainjoyy maisha kwa Binti wa kikurya wige hutaki amalizie uzee wake vizuri???Nimeona unavyoshoboka
Mzee nuksi huyo
Uzuri wake akitia ulimbo
Kifuatacho ni kimya kimya
Nasubiri siredi yako yenye kichwa kisemacho
Sijawahi ku cheat.. my foot
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
π€£π€£π€£π€£π€£π€£πππKwamba asijiachia sana wana sio watu wazuri sio
Tena akute una flirting na Jack palladinoAsante luv. Anafatilia maana ni mtu mwenye wivu sana. Ni kijana but nachoshukuru ana hekima sana. Bila hivyoakiona kitu hajapenda, atauliza.
Sababu maisha ya kawaida miye ni mwaminifu, so vya huku anajua nahave fun tu.
Sema hajakutana na comment zangu za kuflirt atakufwaaaaa![]()
Uliwahi kuona shanga za kiunoni!! Uzuri Keshakupa taarifa kuna mmoja hajaja humu utaisoma namba!! Ni anaongeaaaa Wige akasome
![]()
I am deadβΉοΈWigelekelo tafuta chaka la kuniweka rafiki yangu ππππ
Aione Jack Palladino
Valentina nimewaachia mtu wenu π€
Mnavyopenda ulimbo sasaInaitwa gusa unase... anacheza na urimbo tu![]()
π€£π€£π€£π€£πππ Ngoja ajeeee utapambana nae mie simoooooo π!!Uliwahi kuona shanga za kiunoni
Kwa aliyezivaa akipanda ngazi zikakatika
Vile zinavyoruka ruka
Bhas ndio yule msafwa wa kyela
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Shoga angu naachwa hapohapo... Sijui nitaanzia wapi kumpata kama yeye tena achaaaaaaTena akute una flirting na Jack palladino
Hata MimiWeeeeeeehhhh thubutuuuuuuu
Nilienae anitoshaaaa tena mpaka nabaki !
Humu acha wanaoweza waendelee kubarikiwa nao tyu mi hapana tena!
Niambie mtu wa watuPreseeeeennntttttt![]()
Kuna wazee Nuksi sana wigee wanakupiga ulimbo mpaka unashangaa naroho yako hiviiiiiπ€π€π€π€ππππ!
Kun watu wanapasha wanasubiri kuingia sub etiShoga angu naachwa hapohapo... Sijui nitaanzia wapi kumpata kama yeye tena achaaaaaa