Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nakugawa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ aisee kumbe unajijua kabisa...
Ngoja nitafute chaka jingine, hili halinifai πŸƒβ€β™€οΈ
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£ si kasema wengine amewaaacha we msikilize yeye tu hao wengine hawakuhusuuu banaaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!!
 
Unataka mimi ndiyo nichekwe, siku unaniacha eeh? Ngoja nitangaze humu nani anataka kuwa namimi 🀣🀣🀣🀣 Ili nipate nguvu ya kuondoka kwako
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£ si kasema wengine amewaaacha we msikilize yeye tu hao wengine hawakuhusuuu banaaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!!
Halafu luv ukanishauri ili niingie chaka. Huyu hafai nasikia mzabzab ana nafuu ati.
 
Msimu wa Kulipa Ada kwakwenda mbereeeee!!
Wigelekelo njoo muone mvuvi wako wa kimataifa na mbunu zake za kimafiaaahhh

Babuu nuksii sana wewee huongeagi sana walaaaaahhhh!

Hello granpa!
Namuangalia tu

Hapo kuna mtu kamlenga

Na nimeona ame like

Nuksi sana huyu mzee kijana

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣!! Uzuri Keshakupa taarifa kuna mmoja hajaja humu utaisoma namba!! Ni anaongeaaaa Wige akasome πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Simtaki Jack kabisa kama mambo yenye ndiyo hayo. Huyo tulikuwa naye World Cup kule najua...
CC: Jack Palladino SIKUTAKI πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Back
Top Bottom