Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mtoko wa tar 31, niliamua kutokaa hvyoo
Chini nlivaa slipperz, nilikua na mdoll wangu huyo anaitwa "Vovo"

Nlivoingia pale mall watu walivyokua wananshangaa had nlijistukiaaa woiiiiii

Shougaaaaa nawee uwe unatokaa km hvyoo, mbna utatisha sanaa, afu shougaaa naona km nanenepa cheki hips hizo, nifanye nipunguee aseee, lol.

View attachment 2468652

Sent using Jamii Forums mobile app
wakubwa wanafaidi
 
Mtoko wa tar 31, niliamua kutokaa hvyoo
Chini nlivaa slipperz, nilikua na mdoll wangu huyo anaitwa "Vovo"

Nlivoingia pale mall watu walivyokua wananshangaa had nlijistukiaaa woiiiiii

Shougaaaaa nawee uwe unatokaa km hvyoo, mbna utatisha sanaa, afu shougaaa naona km nanenepa cheki hips hizo, nifanye nipunguee aseee, lol.

View attachment 2468652

Sent using Jamii Forums mobile app
Weee mwehuu hii Ndio official????

Ulinouuuugaaaaa na swaggs zako vipusa matraaatraaaaa sanaaaa!😘😘😘!
 
Antonnia

Shougaaaaa nimekumbukaaa mbna boss anakuweka mjini hujanioneshaaa?? Uliweka sipo ukafutaaa? Nlikuomba kmya had leo?? Na mie siweki official hapaaaa.

huu mshonoo ni hatareeeeee, niliutoaaa sehemu hviii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom