Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,244
- 90,420
Mambo vp wadau? Mwaka mpya unaendaje?
Morning kipenzi!!Morning love. Yaani umeniwahi, nilitaka kumuita Wige pia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Em hukoooo naweee khaaaah,Tangu jana Nakisubiriaaa kwa hamuuu kubwaaa






wakubwa wanafaidiMtoko wa tar 31, niliamua kutokaa hvyoo
Chini nlivaa slipperz, nilikua na mdoll wangu huyo anaitwa "Vovo"
Nlivoingia pale mall watu walivyokua wananshangaa had nlijistukiaaa woiiiiii
Shougaaaaa nawee uwe unatokaa km hvyoo, mbna utatisha sanaa, afu shougaaa naona km nanenepa cheki hips hizo, nifanye nipunguee aseee, lol.
View attachment 2468652
Sent using Jamii Forums mobile app
Weee mwehuu hii Ndio official????Mtoko wa tar 31, niliamua kutokaa hvyoo
Chini nlivaa slipperz, nilikua na mdoll wangu huyo anaitwa "Vovo"
Nlivoingia pale mall watu walivyokua wananshangaa had nlijistukiaaa woiiiiii
Shougaaaaa nawee uwe unatokaa km hvyoo, mbna utatisha sanaa, afu shougaaa naona km nanenepa cheki hips hizo, nifanye nipunguee aseee, lol.
View attachment 2468652
Sent using Jamii Forums mobile app
Cheka utanue mapafu shossssssss!!
Grah nuksi sana huyoo yeee kutwa kupost mihelaaa tyu jamaniiii!!
Angekua ndugu yangu ningempiga vizinga mpaka ajutre kuwa na Ndugu ka mie!!





hata sahv mpige tyuuh, mbna uchumi wa malipo unao. Unaniangusha sasa naweee.
Poa kabisa mtu chake wewe je uko poa? Tubariki na kaselfie basi 😋Mambo vp wadau? Mwaka mpya unaendaje?
Unataka official?? Kaa hapaaa sasa.Weee mwehuu hii Ndio official????
Ulinouuuugaaaaa na swaggs zako vipusa matraaatraaaaa sanaaaa!!








mie niko poa, naweka muda si mrefu,mwaka mpya na mambo mapya,hahahahaPoa kabisa mtu chake wewe je uko poa? Tubariki na kaselfie basi 😋
Weeeeehh sio ndugu yangu huyoo nitamlipa nini miyeee??hata sahv mpige tyuuh, mbna uchumi wa malipo unao. Unaniangusha sasa naweee.
Unakwama wapiii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiweka nakojoa live hapaa!!mie niko poa, naweka muda si mrefu,mwaka mpya na mambo mapya,hahahaha





huu mshonoo ni hatareeeeee, niliutoaaa sehemu hviii. wanaokula vinono
Weeeeehh sio ndugu yangu huyoo nitamlipa nini miyeee??
Kudhalilishwa sitrakiii miyeee ngoja niridhike nahizi miambiliii miambiliii za twisheni tyu!!







utadhalilishwaaa vipiii sasa nawee, acha uwogaaa, unaniangushaaaaa. hahahaha,ticha itakua una hamu ya kukojoaUkiweka nakojoa live hapaa!!
Bandarini
hahahamtu chake Aweke amerogwa??
wanaokula vinono





mie wakubwaaa aku, napenda watoto wenzangu tyuuh. 





