cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Mi mwenyewe mbabuMi navaa gagulo mpka leo..ila nimeshazeeka
Kumekuchaaaaaaaaa!!!Si upo na naniliu halafu naniliu Tena?
Pia cocastic
Vingine tumwachie ERoni na mzabzab
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app








Mjep bana 😆 ..mzima lakini?Mi mwenyewe mbabu
Wacha nitangaze ndoa chap
Kabla vijana hawajafanya kitu hamna
Niko poa madamMjep bana...mzima lakini?
Na situpiiiii kamweeee.hahahaaa!! cocastic akitupia officialwear nihifandhie mr vocha!!
utamwambia nimesubiri weeee hadi basi!!






Hahahaa kale uliko kasscreen shot umeshakadelete??Niko poa madam
Hofu kwako tuu...
Usisahau ka selfie ka 2023 tafadhali
Ka 2023 ni special madamHahahaa kale umeshakadelete??
Ooh ngoja kesho nipake faundesheni nizibe rinkozi na pimpoz nipake na kapouda ntatupiaKa 2023 ni special madam
Fanya namna tafadhali
Ushamisika
Kale kamepitwa na wakati
Sema ulikuwa umefichwa huko!





acha nifichweee na kipangaa, tukimalizaa tukumbukanee vizuriii. Ulifichwa wapi wewe?jamaa amekuachia sasa hivi?





nilifichwaaa na madesaaa, Yaani hayo ma foundation waachie vijanaOoh ngoja kesho nipake faundesheni nizibe rinkozi na pimpoz nipake na kapouda ntatupia
Watoto wanarudi kesho wapo mahali..Yaani hayo ma foundation waachie vijana
Sisi wazee natural inatufaa hata kama tuna mvi tunajivunia mvi zetu
Selfika madam
Watoto wamelala?
Madesa wapi wewe?
Madam selfika japo miguu tuWatoto wanarudi kesho wapo mahali..
Basi sawa kwahyo nisipake hata super black kuficha mvi...
Tukutane kesho jioni humu...