Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
We msukuma lala
We msukuma lala
Usimkubalie bomu la machozi hiloNiambie vizuri basi shoga angu![]()
Kwamba kitanda hujui kilipo
Nyie ndio mmenitelekeza Bantu Lady kanipa tulizo la moyo!😊Wewe wakumtelekeza mtakatifu kweli?
Na mwanzo ulinitelekeza mie
Mwanaume una mahangaiko wewe
Kijana wa jf ndio huyo?Niambie vizuri basi shoga angu![]()
Wewe njooKwamba kitanda hujui kilipo
Acha uongoNyie ndio mmenitelekeza Bantu Lady kanipa tulizo la moyo!![]()
Niache msukuma
Haya sasa nenda unasubiriwa chumbani😅Niache msukuma
Siyo kabisa, yeye mtulivu sana sana. Hata huku hakujui. Yeye anajua mimi nakuwa kwenye Sports na MMU kidogo 😄😄😄😄😄Kijana wa jf ndio huyo?
Mara elfu uchukuliwe na mzabzab
Lakini hata Mimi ukinipa nitakula
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Awali ni awali tuNiache msukuma
Mpendane SasaSiyo kabisa, yeye mtulivu sana sana. Hata huku hakujui. Yeye anajua mimi nakuwa kwenye Sports na MMU kidogo![]()

Siyo huyo bana. Huyo rafiki.Mpendane Sasa
National Anthem ni mtulivu na msikivu
Tuache akina sisi Ma budege
Tutakuzoa tukakutupe ukiwa nyapi nyapi
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Huwezi kufanya Nini?Siyo huyo bana. Huyo rafiki.
Yeye tunapendana sana sana kwa mapenzi ya dhati. Siwezi mcheat kamwe. Sijuagi kucheat. Asante Wige kwa ushauri mzuri![]()
Utakuwa una deti na kavulana weweSiyo kabisa, yeye mtulivu sana sana. Hata huku hakujui. Yeye anajua mimi nakuwa kwenye Sports na MMU kidogo![]()
Sijawahi cheat maishani mwangu Wige amini.Huwezi kufanya Nini?
Thubutuu
Usirudie Tena kusema hayo uliyosema
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Nitaamini vipiSijawahi cheat maishani mwangu Wige amini.
