cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,290
Mambo mengi nn sasa, wee mpost nimuonee muitaliano wanguu.Wewe mambo mengi sana!
Hutaki nkaishi Rome wee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo mengi nn sasa, wee mpost nimuonee muitaliano wanguu.Wewe mambo mengi sana!
Lete picha yako akuone!Mambo mengi nn sasa, wee mpost nimuonee muitaliano wanguu.
Hutaki nkaishi Rome wee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Babu yako' na nani?Basi ssaaaauuuwaaaa babuu ila angalia jioni hii shambani pekeako sio salama bibi watoto ndugu na wajukuu zako bado twakuhitaji sana babu furahia kilimo chema na uwe na Jioni njema babu etu!![]()
Huku moyoni unafurahiaUnanigombanisha na sophy![]()
Unaingiaga na gia Kali sanaKwahiyo unakubaliana na Wigelekelo sio?
Ngoja niombe Cheti changu Cha kuzaliwa kwa Malikia Elizabeth niwaoneshe hapa![]()
2025weka tuone kumbe umezaliwa 2001 unatudanganya babu wa mchongo
![]()
Yani Yuko live anasuuza roho
Ungejibu swaliSi umuulize Yolly Yolly wako Chizi wewe!!
Unamjua?!!
Watu wanahangaika kupigana anaepigwa mzigo na kula mema ya nchi katuliaaaa anawazoom tyu!!![]()
Mambo ndio kama hivyoNikuje kukuonyesha.?
Hiil lugha umeanza lini kuinena?Is
Not
Was
![]()
Hakuna limbwata palektk watu wanajua mambwata Kajalaa nimemnyooshea mikono, tatizo halijielewi lile, lingekua mbali maskinuii.
Sent using Jamii Forums mobile app