Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nipoooo hapaaa shossss nimejaa teleee

Ruksaaaa Weeee mwanahabari na msemaji mkuu wawatu selfika champaaaaaa tani yakooo na ukipata nyongo yoyote kunihusu tu usinisubiri shusha hapaa moja kwa moja ntaikutaaa!!!!
Eti nn?
Unatafutaaaa ugomvi wa ngumii sasa, mie msemaji wa watu toka lini? Afu unanihujumuu shougaaaaaaaaaaa

Wee wa kushindwaa kuniambiaaa mie kuna tume inaundwaa kwa ajiri yangu eti naiba mabwana wa watu, mwanzo nilijuaga fix tyuuh kumbe kweli bhanaaa, tume inaundwaa kunisaulaaaaaa woiiiiiiihh.


ko unataka nisaulweee afu unipee poleee ya kinafikiiii? Ntakubondaaaa nakuambiaaa wee c ndo inabidiii uniteteee au?

Watu wamevurugwaaaaa, km wanatoa nyapuuuu kizembeee na wanakopwaaaaa hasira kwa cocaaaa mbna sio shida zangu eti. Naombaaa uwaambie hao wana tume watakavokuja kwangu wasisahau vyeti halali vya ndoa, sita deal na michepukooooooo mie.

JF sihamiiiiii kamweeeeeh.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi ni ngumu Sana kusahau.

Juzi kati nadandia mwendokasi line ya foleni ya tiketi ina watu wengi

yule cashier akajidai kunipa buku buku akanichanganyia na mia tano mia tano ili nishindwe kuhesabia pale dirishani nahisi alidhani naharaka Kama abiria wengine; kumbe mpuuzi kakata 1000.

Nikasema huyu jamaa ananiletea michezo yangu ya zamani niliyokuwa nikiwafanyia abiria wangu.
mwendo kasi wana kera hao ,wanachezea tu hela .. siku tumepanda wawili kwa mia tatu . tumempa buku mbili hapo .

nimepotea leo sina hamu ... miguu inauma hapa
 
Eti nn?
Unatafutaaaa ugomvi wa ngumii sasa, mie msemaji wa watu toka lini? Afu unanihujumuu shougaaaaaaaaaaa

Wee wa kushindwaa kuniambiaaa mie kuna tume inaundwaa kwa ajiri yangu eti naiba mabwana wa watu, mwanzo nilijuaga fix tyuuh kumbe kweli bhanaaa, tume inaundwaa kunisaulaaaaaa woiiiiiiihh.


ko unataka nisaulweee afu unipee poleee ya kinafikiiii? Ntakubondaaaa nakuambiaaa wee c ndo inabidiii uniteteee au?

Watu wamevurugwaaaaa, km wanatoa nyapuuuu kizembeee na wanakopwaaaaa hasira kwa cocaaaa mbna sio shida zangu eti. Naombaaa uwaambie hao wana tume watakavokuja kwangu wasisahau vyeti halali vya ndoa, sita deal na michepukooooooo mie.

JF sihamiiiiii kamweeeeeh.

Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
Sio shida zako hizoo shosss wapambane na mabwana zaoo hukoo! Wajua mie nivokua wamwisho kupata habari humu Sinaga aa wala bee naanzaje kukunafkia kipenzi uwiiii!!
Wenyewe wanapangwa wakapangika ka sie tunavopangwa tyu watruuukooomeeeee!!

Halafu mapenzi kama siti za basii tyu akishuka huyu mwingine anakaa nini makasiriko sasa watruuuu na nyota zenyuuuu!!👌👌👌👌👌
Utakua umewazidi ketreeee shougaanguuu huyo mganga wako usimuacheeeee!!

Nakazia hapo 'Wenye vyeti vyao halali vya ndoa ndio wabwekeee na si chapwa ilaleeer watulize mishono ka mie tyu hapaa!! mmxxcieeewww😁😁😁

Wakweendrreeeeeeeeee!
 
Daaaaah ila weziii, afu wakikamatwaa wakiuawa utaskia sio vizuri.
Nasemaga wabondwee tyuuh.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wezi sioo kabisaaa!!!

Nishaongea na sweetdaddie akee auuuweeeeeehhh Jmos naenda shopping miyeeee!! Watruu na vibabu vyeeiiiituuuuu wwweeeeuuuweeehhh😁😁😁💃💃💃💃🤸🤸🤸🤸🤸😛😛😛!!!!!!!
 
Wezi sioo kabisaaa!!!

Nishaongea na sweetdaddie akee auuuweeeeeehhh Jmos naenda shopping miyeeee!! Watruu na vibabu vyeeiiiituuuuu😁😁😁💃💃💃💃🤸🤸🤸🤸🤸😛😛😛!!!!!!!
im happy for you
mambo hayo
Mungu ni mwema ...
 
Back
Top Bottom