Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Please tazama hii
 
20221228_082654.jpg
 
Antonnia

Shougaaaaaaaaa akeee wheaaa r yuuuh?? Nimekumic bhanaaa.
Tenaaa nakuhitajiii ukujeeee hapaaaa, nikuchambeeee na huo umbea na unafiki wakoooo. Mxxieeeeeeeeew!!

Njooo afu seriously!! Sitaki unafiki miee. Ndo utanijua km ni cocaa au laaah, khaaaaaah.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipoooo hapaaa shossss nimejaa teleee🙇🙇🙇🙇

Ruksaaaa Weeee mwanahabari na msemaji mkuu wawatu selfika champaaaaaa tani yakooo na ukipata nyongo yoyote kunihusu tu usinisubiri shusha hapaa moja kwa moja ntaikutaaa!!!!
 
hahah route ya kwanza umeipatia

route ya pili iwe simu 2000- tegeta nyuki .

zamani wakati nakuja huku nilikuwa nakosea nipo pale njia ya panda ya chuo

siangalii gari kama ni B/sokoni au T/nyuki .. nakuja kushtuka wakati nampaa konda hela ananirudishia mia 500,, hapo nishapanda la nyuki hivyo ..
Zinafanana mikanda kweli nirahisi kuchanganya kama unavyosema

Kwaiyo ulikuwa ukiumia nauli mara mbili; naunakuja kushtuka upo maeneo ya mlimani uko kiasi ambacho ukimuelekeza konda akuelewi apo.
 
Zinafanana mikanda kweli nirahisi kuchanganya kama unavyosema

Kwaiyo ulikuwa ukiumia nauli mara mbili; naunakuja kushtuka upo maeneo ya mlimani uko kiasi ambacho ukimuelekeza konda akuelewi apo.
yaani hicho ndo walichokosea aisee .. hata kama yote yanapita Bagamoyo road rangi isingekuwa red basi ...

si unajua akili ikisikia tu mwenge, mbezi tegeta nyuki basi inafata tu yenyewe .

sasa hivi nauliza abiria .. nishakosea mara tatu hivi
naenda hadi kwa ndevu then naunganisha .
 
Zinafanana mikanda kweli nirahisi kuchanganya kama unavyosema

Kwaiyo ulikuwa ukiumia nauli mara mbili; naunakuja kushtuka upo maeneo ya mlimani uko kiasi ambacho ukimuelekeza konda akuelewi apo.
Route nayopenda huku ni ya kawe .. haijazi sana .. ukiwa unashuka njianj nzuri kuipanda .
 
yeah rahisi sana
mimi huwa nasahai dukani lakini huwa wananikumbusha haha.
Mi ni ngumu Sana kusahau.

Juzi kati nadandia mwendokasi line ya foleni ya tiketi ina watu wengi

yule cashier akajidai kunipa buku buku akanichanganyia na mia tano mia tano ili nishindwe kuhesabia pale dirishani nahisi alidhani naharaka Kama abiria wengine; kumbe mpuuzi kakata 1000.

Nikasema huyu jamaa ananiletea michezo yangu ya zamani niliyokuwa nikiwafanyia abiria wangu.
 
Back
Top Bottom