Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

"Msisahau kuwafadhili wageni; maana kwa njia hii wengine mmewakaribisha Malaika pasipo Kujua".
WARAKA KWA WAEBRANIA 13:2

Unaweza Kuta na Uzee huu nikakuletea Baraka nyumbani kwako ukinialika, bado sikukuu haijaisha Mjue

Hello Monday
Mwambie anipigie ni mimi mama yake!!mwambie sina simu ila nimeona picha zake kwenye simu ya kupalaza ya khamisi/mwambie amenenepa sana ..mwambie nimeona gari lake ni zuri sana !!ila mwambie mama yake bado naishi kwenye lile banda pamoja na kuku/mwambie nimeumwa sana ila nikapona bila hata kutumia dawa/mwambie mzee juma bado ananidai pesa zake nilizokopa ili nimlipie ada amechukua kile kishamba nilichokuwa nakitegemea kufidia deni lake/mwambie mimi mama yake nimebaki pekee yangu tangu baba yake afariki sina hata wa kunisogezea kuni motoni/mwambie leo nimetamani sana nyama zile mboga zilizoota zenyewe upenuni zimenichosha mpka mdomo umekuwa mchungu/mwambie wale vijana walitaka wanipige eti mimi mchawi eeh/mwambie mama yake nimekuwa mzee sana nahesabu siku tu aje hata nishike mikono yake nimuoneshe mipaka ya nyumba yetu/!!salio limeisha mwambie mama anampenda sana!ila huku kijijini nimebaki pekee yangu wenzangu wote wameenda mjini kusherekea kwa watoto wao...
IMG-20221226-WA0068.jpg
 
kimoja eehh ..
navipenda vizuri sana kwa kukunguti miguu

hapo umeniogopesha aisee sitotengeneza kama vinaumiza hivyo .

Naona na mafuta pia yanachangia.
Mimi nilibadili mafuta, naona pia ni sababu mikono ikaharibika.
Niliyokuuwa napaka yalikuwa hayataki kukaa juani.. nilivyokuja mjini nikawa napiga misele.

Uzuri hizi domati haziishi haraka,tofauti na zile za dukani special
Kuna ndugu yangu nilienda kumsalimia,analo hadi leo nikimteengenezea mwaka 2015.

Angalau vitano.
Siri ya hivi vidude, ukianza hapa kimoja basi kimalize choteusikilaze.
Na msumari Kuna namna ukiutengeza Vizuri hauumizi.

Mimi hivi nilitengeneza wiki tu .. kila siku kimoja.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Mwambie anipigie ni mimi mama yake!!mwambie sina simu ila nimeona picha zake kwenye simu ya kupalaza ya khamisi/mwambie amenenepa sana ..mwambie nimeona gari lake ni zuri sana !!ila mwambie mama yake bado naishi kwenye lile banda pamoja na kuku/mwambie nimeumwa sana ila nikapona bila hata kutumia dawa/mwambie mzee juma bado ananidai pesa zake nilizokopa ili nimlipie ada amechukua kile kishamba nilichokuwa nakitegemea kufidia deni lake/mwambie mimi mama yake nimebaki pekee yangu tangu baba yake afariki sina hata wa kunisogezea kuni motoni/mwambie leo nimetamani sana nyama zile mboga zilizoota zenyewe upenuni zimenichosha mpka mdomo umekuwa mchungu/mwambie wale vijana walitaka wanipige eti mimi mchawi eeh/mwambie mama yake nimekuwa mzee sana nahesabu siku tu aje hata nishike mikono yake nimuoneshe mipaka ya nyumba yetu/!!salio limeisha mwambie mama anampenda sana!ila huku kijijini nimebaki pekee yangu wenzangu wote wameenda mjini kusherekea kwa watoto wao...View attachment 2458611
Huo ujumbe wa Bi Mkubwa unahuzunisha Sana 😢😢.

Watoto wengi huwasahau Wazee wao baada ya kuanza kujitegemea. Wakati mwingine Mzazi haitaji hela yako ila angependa kusikia Sauti yako tu ukimsalimia.

Mungu atupe mwisho mwema wa Uzee wetu
 
Naona na mafuta pia yanachangia.
Mimi nilibadili mafuta, naona pia ni sababu mikono ikaharibika.
Niliyokuuwa napaka yalikuwa hayataki kukaa juani.. nilivyokuja mjini nikawa napiga misele.

Uzuri hizi domati haziishi haraka,tofauti na zile za dukani special
Kuna ndugu yangu nilienda kumsalimia,analo hadi leo nikimteengenezea mwaka 2015.

Angalau vitano.
Siri ya hivi vidude, ukianza hapa kimoja basi kimalize choteusikilaze.
Na msumari Kuna namna ukiutengeza Vizuri hauumizi.

Mimi hivi nilitengeneza wiki tu .. kila siku kimoja. View attachment 2458626

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
ooh hongera vimependeza
hizi nzuri sana ukiwa nazo hauhangaiki kabisa
zinadumu mno .

hivi ushakuja huku tegeta .. ulipaulizia siku ?
 
Naona na mafuta pia yanachangia.
Mimi nilibadili mafuta, naona pia ni sababu mikono ikaharibika.
Niliyokuuwa napaka yalikuwa hayataki kukaa juani.. nilivyokuja mjini nikawa napiga misele.

Uzuri hizi domati haziishi haraka,tofauti na zile za dukani special
Kuna ndugu yangu nilienda kumsalimia,analo hadi leo nikimteengenezea mwaka 2015.

Angalau vitano.
Siri ya hivi vidude, ukianza hapa kimoja basi kimalize choteusikilaze.
Na msumari Kuna namna ukiutengeza Vizuri hauumizi.

Mimi hivi nilitengeneza wiki tu .. kila siku kimoja. View attachment 2458626

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
mafuta gani hayo uliyatumia , yakakuharibu jamani .
 
ooh hongera vimependeza
hizi nzuri sana ukiwa nazo hauhangaiki kabisa
zinadumu mno .

hivi ushakuja huku tegeta .. ulipaulizia siku ?
Mfuko uukunje pembeni na kitambaaa
Inasaidia kutofumuka , pia kinanyooka vizuri, tofauti na usipokunja mfuko pembeni.

Msumari pia ufunge namna hii Utanishukuru baadaye.


Tegeta Kuna mtu nilikuwa namsaidia kuuliza,
Alifika, Akhsante.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom