cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,160
- 181,296
haina tatizo,wewe tuNitakustua..uninunulie na nguo ya kwendea kanisani
Ahsanteeeeeeeh dada mpoleeee na mtulivu, na mie nimeingia ukubwani sasa, inabidi nipunguze kuwachekesha, maana uzee haupigi alarm, ni vuu huu hapa.
ubarikiwe sanaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada yaan hapo najionaaa niko mpyaaaaa!!!! Amani kwangu itawaleeee mileleeee, furaha na Amani kwangu ni vya msingi mnoooo.Hesabu 6: 24-26
Bwana akubarikie na kukulinda,
Bwana akuangazie nuru za uso wake ..na kukufadhili,
Bwana akuinulie uso wake na kukupa amani,
cocastic![]()





Kufa hautakufa ila chamoto lazima ukione 😂😂usijaribu kuniambia,maana nitakufa kwa presha
Enjoy tu maisha bhana
Uzee utajijua wenyewe
Maisha ndo haya





kabisaaaa dear, we live at once!! hahahahahaWeuweeee chakori ona mjeda anavyokuelewa .
eeh bana,tunafurahi na warembo hapa
hahahahaha
hahahaha,sasa kipenzi hilo nalo lakujadili?
Yeah , enjoy
😅😅😅 Nimeachika sana na kubwa kuliko kuna mdada chuo enzi hizo nime mtoa out .. kakutana na jamaa kaingia mkenge nikaanza kupangwa ni kaka yake nikaachwa kikatili, nikarudi hostel peke yangu yeye nikamuacha na kaka yake, miaka 11 mbeleni kaja kitaa anatafuta nyumba, akapewa namba na dalali kajieleza simjui na hanijui , nikamuambia nitakuja hapo niwape funguo mkague. Nimefika mwamba ( baba mwenye nyumba nasikilizia mteja ) malaa paaap huyo mtoto Vanessa 😅😅😅 aibu ya hatali shangazi la watu.. nikajidai sijarii.. akapapenda nikawaacha na dalali nikasepa.. siku akanipigia ananioamba tuonane 🤣🤣🤣🤣 nikalipwa hasara zangu zote za miaka iliyopita ila hiyo sio karma ni dunia duara .. inashort kuachana kupo inakuwa tatizo unapo ona hustahili kuachwa.. usimuamini mwanadamu 100% mwanadamu anaweza akawa chochote na mda wowote.. watu tunakutana na mengi.. ila kujifunza kukabiliana na yanapotokea..Una list ndefu ya walio kuacha? Au ulio waacha?sitaki kuamini nawee huwa una achwaa, nweiiiiiiiii.
Ni bora mtu umuambie ukweli mapemaa kabla hamjazama mapenzini ili afanye maamuzi, akikutwa na jambooo asiwe wa kumlaumuuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi nikajaribu kuangalia nione nani kaanza kukuwishi selfika nikasema ngoja niwe wa kwanza.