Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Unadanganywa huna akili na macho ya kuona ? na kama unadangnywa maana yake unatamaa .. kudanganywa ni kama mtego .. sasa unawekewa mtego unanasa maana yake hukutumia akili vizuri kama.. na wengine hawadanganywi mtu anaweza kuwa na nia njema ila ukikaa na mtu ujue unaonamuona kama mchele au pumba .. unajikuta hapo mbeleni tutachoma moto.. kwanini msiachane au usiache .. kuachwa kupo tu, nina list ndefu sana ya walio niacha asee na sio kwamba waliniacha kwa mabaya au tuliachana kwa ubaya.. ila nikaja jifunza kitu ( mapenzi kudumu inatakona na aina ya scarifier -) hadhina yako ilipo ndio moyo wako ulipo.. kama hakuna exchange kati ya wote na ukiona halipo hilo kati yenu jua hamdumu hata uroge
Una list ndefu ya walio kuacha? Au ulio waacha? sitaki kuamini nawee huwa una achwaa, nweiiiiiiiii.
Ni bora mtu umuambie ukweli mapemaa kabla hamjazama mapenzini ili afanye maamuzi, akikutwa na jambooo asiwe wa kumlaumuuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hesabu 6: 24-26

Bwana akubarikie na kukulinda,
Bwana akuangazie nuru za uso wake ..na kukufadhili,
Bwana akuinulie uso wake na kukupa amani,
cocastic ❤️
 
Happy birthday mdogo wangu kipenzi changu cocastic ...Mungu azidi kukuinua na uzidi kufanyika kichwa na sio mkia..Cha kufurahi wangu..napenda kukuona ukifurahi kila iitwapo leo..
Ishi Sana mdogo wangu..Dada rumee anakupenda mnooo .. happy birthday cheupe wangu ..furahia siku yako.

Dadaaaa wa damuuuuu, hizi sifaaa zote ni zanguuuuu??
Ahsanteeeeee kwa kunipendaaaa na kunifanya nifurahi mda woteee.
Ccter akee chibongeeeee, , na iwe hivii mileleee.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom