[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Goodnight vipenzi [emoji7][emoji3590]
Tuone vipisi vyako vya kucha nawee!!
Akati ukinyoa n 5k uko softieee.Yeah kunyoa ni raha
Sasa hivi bei za vitu zipo juu ,ununue mafuta ya maji , gel, mafuta ya mba , hairspray , conditioner na kasteaming .
Bado hujaenda saluni hapo
Naunga mkono hoja ....
Mzungu kokooo!! Ulimwengu mzima utajua Mbona kuna wa kuambiwa sio shosss akee weweeee!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mwanaumeeee kwamba hujui kesho ni b'day ang? Mbna cake na shampen bado sijaonaaaa?? Kabla ya saa 12 niwe nshapataaaaa.
Hebu muambie kwa sauti, uzuri mie n mzungu wala sina kwereee. Kuweni huruuuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitafutie mkaka wa Islamic niwe ostadhat, afu ntaitwa "shamsia"Ijumaa Kareem wapendwa[emoji3589]
View attachment 2448499
Nyie mbona zenu hamuwekiii wekeni kwanza zenuu tuone!Imeandikwa pendaneni
Si uweke tu na wengine tuone
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Muache mume wangu, aselfike iwejeee? Huogopiii kuzoea waume za watu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utakuja urogweeee wee.Hivi weee mbona huselfiki sikuhizi umekuaje kwanii??? cocastic umemfanya nini mr vocha!! [emoji41][emoji41]
Huyo ni mume wa mtu, mnataka wa nn? Mnajua uchawi wa kingoni? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hayaa nshatoa [emoji3544] lakini.
SijaogaNyie mbona zenu hamuwekiii wekeni kwanza zenuu tuone!
Wacha weeee!! Mtyu na mume wake haooooo!! Wauweeeehhhhh 💃😁!Muache mume wangu, aselfike iwejeee? Huogopiii kuzoea waume za watu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utakuja urogweeee wee.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenzio niliambiwa "hujioni uko km Jini maimuna" nilitoa fastaaaaaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kopeee[emoji119]
Jaribu waweza pendeza my dear...Mimi kope hapana kwakweli niliwahi jaribu weka zile za moja moja..kutoka salon Hadi nafika home jicho moja sinazo ..machozi Sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ile siku loh..
Na style yako amazing ,unatoka chicha .
Unajua kuachika?? Au Kuachwaaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usitoke hapa
Ngoja nimuite cocastic awe shahidi
Mme wa mtu my foot🤣🤣🤣!Huyo ni mume wa mtu, mnataka wa nn? Mnajua uchawi wa kingoni? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hayaa nshatoa [emoji3544] lakini.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu na sweetdaddie wenuuuu, wala hamtaki msururu tenaaaaa??? Nakufwaaaaaaaa.Utrajijuuuuuuuu!! [emoji108][emoji108][emoji16][emoji16]! Sio shida zangu hizoooo
Mwehuuu weweee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tunataka ubwabwaaaMnataka neneee sasaaa!! Hebu fongokeniiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanza ngoja nianze kufuga, sku ya graduu ziwe kubwaaaa.Tuone vipisi vyako vya kucha nawee!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mlichomfanya Mungu anawaona🤣🤣🤣🤣🤣😎😎😁!!Unajua kuachika?? Au Kuachwaaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weka selfie nionee, ndo talaka hiooo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaweka tips kama kina Didierr Lenie utranougaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanza ngoja nianze kufuga, sku ya graduu ziwe kubwaaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app