Tuone vipisi vyako vya kucha nawee!!
Akati ukinyoa n 5k uko softieee.Yeah kunyoa ni raha
Sasa hivi bei za vitu zipo juu ,ununue mafuta ya maji , gel, mafuta ya mba , hairspray , conditioner na kasteaming .
Bado hujaenda saluni hapo
Naunga mkono hoja ....
Mzungu kokooo!! Ulimwengu mzima utajua Mbona kuna wa kuambiwa sio shosss akee weweeee!!wee mwanaumeeee kwamba hujui kesho ni b'day ang? Mbna cake na shampen bado sijaonaaaa?? Kabla ya saa 12 niwe nshapataaaaa.
Hebu muambie kwa sauti, uzuri mie n mzungu wala sina kwereee. Kuweni huruuuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie mbona zenu hamuwekiii wekeni kwanza zenuu tuone!Imeandikwa pendaneni
Si uweke tu na wengine tuone
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Muache mume wangu, aselfike iwejeee? Huogopiii kuzoea waume za watu?






utakuja urogweeee wee. Huyo ni mume wa mtu, mnataka wa nn? Mnajua uchawi wa kingoni?






hayaa nshatoa
lakini. SijaogaNyie mbona zenu hamuwekiii wekeni kwanza zenuu tuone!
Wacha weeee!! Mtyu na mume wake haooooo!! Wauweeeehhhhh 💃😁!Muache mume wangu, aselfike iwejeee? Huogopiii kuzoea waume za watu?utakuja urogweeee wee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kopeee
Jaribu waweza pendeza my dear...Mimi kope hapana kwakweli niliwahi jaribu weka zile za moja moja..kutoka salon Hadi nafika home jicho moja sinazo ..machozi Sasaile siku loh..






mwenzio niliambiwa "hujioni uko km Jini maimuna" nilitoa fastaaaaaa. Na style yako amazing ,unatoka chicha .
Unajua kuachika?? Au Kuachwaaaa?Usitoke hapa
Ngoja nimuite cocastic awe shahidi






Mme wa mtu my foot🤣🤣🤣!Huyo ni mume wa mtu, mnataka wa nn? Mnajua uchawi wa kingoni?hayaa nshatoa
lakini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utrajijuuuuuuuu!!! Sio shida zangu hizoooo
Mwehuuu weweee





watu na sweetdaddie wenuuuu, wala hamtaki msururu tenaaaaa??? Nakufwaaaaaaaa. Tuone vipisi vyako vya kucha nawee!!






kwanza ngoja nianze kufuga, sku ya graduu ziwe kubwaaaa. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mlichomfanya Mungu anawaona🤣🤣🤣🤣🤣😎😎😁!!Unajua kuachika?? Au Kuachwaaaa?
Weka selfie nionee, ndo talaka hiooo.
Sent using Jamii Forums mobile app