Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,304
Mpeeee banaaNikupe?
Mpeeee banaaNikupe?
Kuna App ya football ninayoKuna app niliiweka pale ya ku stream nimelipia nimesahau credentials ukinipa tecno itabidi nilipie tena..
Mpeeee banaaNikupe?
Asante Bosi Ledi.Asante kwa kutukumbusha msukuma!
Hapoooo roho kwatuuuuuu, mxxxxieeeeewwww.Wabheja sana mkuuuu!! Looking Very smart!!!
Hakika mchana wangu Unaenda kuwa bareeeeeeeedaaaa kabisa!!
Hayaa Saint Anne bado wewe nibless mieee!!








1-Serikali ya Tanzania inaruhusu watu wa jinsia moja kufunga ndoa?Nitafunga ndoa ya ki serikali, couz mie cna Dini wala dhehebu.
Ndyo nna uwezo wa kubeba mimba.
Huyu nikikutana naye njiani Nampa Bwana Yesu asifiwe tena Kwa kupiga magoti.Yaan had nimeshangaa na mie kwa kweli,![]()
Huku Kwema sana mkuu!!Asante Bosi Ledi.
Kwema huko kwako?
Coca ukiona yangu si utasema mm jambazi sugu
Cha kike hiyo kwioooo,Coca mbona unatuingiza Cha kike?







Ukiweka nawezaThubutuuuuuu!! Nasubiria kiuno nyigu hapaa
coca wee ni mwehuuu ujueee eti baunsa mpya🤣🤣🤣🤣😄! Alipendeza
Atakuja kula jua eti?Cha kike hiyo kwioooo,
Tafuta jr weyeeeee, pesa zitakuja tyuuh.
Asante sana Bosi Ledi.Amen amen Amen best akeee!!
Ndoa ni Jambo jemaaa na la baraka heshima pia I'm very happy for you dears!!!
Nawatakia kheri baraka na amani na mafanikio, heri pia ya mwanzo wa mwezi, nawaombea ukawe mwezi mzuri kwenu na mwisho mzuri wa mwaka kwenu pia , muwe na wakati mwema na maandalizi mema best akeee tupo pamoja sana katika maombi na maandalizi And God bless you guys!!!!!!
All the bests
Bwana Harusi mtarajiwa .



Ukiweka naweza
Sina Mbambamba
Nishaweka mie bado wewe!!Ukiweka naweza
Sina Mbambamba
1, hairuhusu.1-Serikali ya Tanzania inaruhusu watu wa jinsia moja kufunga ndoa?
2-We unaingia kwenye siku zako? unapata hedhi?
Mbona nyingi sana hizo, hii app yangu mechi nzima MB 100..Kuna App ya football ninayo
Hata MB 500 hazikatiki Kwa mechi
MB 500 kwako ni kitu kidogo
Halafu hiyo uliyolipia nitaitumia Mimi.
Ni sadaka yako Kwa Mungu.
Mbona nyingi sana hizo, hii app yangu mechi nzima MB 100..Kuna App ya football ninayo
Hata MB 500 hazikatiki Kwa mechi
MB 500 kwako ni kitu kidogo
Halafu hiyo uliyolipia nitaitumia Mimi.
Ni sadaka yako Kwa Mungu.
Hebu tuione!Coca ukiona yangu si utasema mm jambazi sugu
Na nilikuwa naenda nayo hadi church