Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Kipindi hicho cha operation tokomeza kitambiIlikua September hio !!
Naona shepu imejichonga kama imechorwa vile
Kipindi hicho cha operation tokomeza kitambiIlikua September hio !!
ameweka tayariNikupe?
Wabheja sana mkuuuu!! Looking Very smart 😍!!!
😂😂😂😂hii apa
Ulipendeza dear!!! 😎😎😘hii apa
Manyanyaso yanaendelea.
Hapo umekaa kilokoleKiaje ?![]()
itakuwa ilikuwa mikubwa sana😂😂😂😂
Haijatofautiana sana na niliyowahi kuweka lens
Maisha haya 🤣🤣🤣🙌
Nitafunga ndoa ya ki serikali, couz mie cna Dini wala dhehebu.Ok!
1-Atakaefungisha ndoa ni Sheikh au mchungaji/padre?
2-Kwani we unaweza kubeba mimba?
Kwani ulisikia wereva yangu haionyeshi?Ngoja kombe la dunia liishe, ujue nina stream world cup...
Thubutuuuuuu!! Nasubiria kiuno nyigu hapaaShusha kwanza
Mie napita na kiuno naked
Asante dear 🥰Ulipendeza dear!!! 😎😎😘
Wee tafuta mtoto, pesa zinakuja mda wowote.Sina tu pesa aisee
nikizipata inshallah .
Acha tu😂itakuwa ilikuwa mikubwa sana
sipati picha






wee mzee wa mnyanduano. Punguza kitambii khaaaaah.Coca mbona unatuingiza Cha kike?Wee tafuta mtoto, pesa zinakuja mda wowote.
Kuna app niliiweka pale ya ku stream nimelipia nimesahau credentials ukinipa tecno itabidi nilipie tena..Kwani ulisikia wereva yangu haionyeshi?
Yaan had nimeshangaa na mie kwa kweli,Stori zako haziendani na wewe![]()






Hakuna shida mjukuu. Siku nyingine. Hata wewe ukihitaji vocha nambieNisamehe bure babu , nilisahau
siku Ile nilirudi usiku na uchovu
nitakuwekea.
