Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

calm-down-a-bit-calm-down.gif

We mi nimekuuliza maswali machache tu unaleta historia, calm down,relax, nimekuuliza huyo jamaa kaleta mahari kwenu na wazazi wako wamepokea? ameshajitambulisha? hio ndoa ukimpata mtoto wa kwanza utamuita nani?
Ooooh maswali yenyeweee ndo hayaaa.

Mahari hajaleta ndo yupo kwenye process, na yakiletwaaa wazazi watapokea na sio kupokea tyuuh na baraka juu watatoa.

Hajajitambulisha bado ila ndo yuko ktk utaratibu, na utaratibu wa kwetu mtu anakuja kujitambulisha wakati wa kutoa barua ya posa, na mie ntaulizwa swali "huyu aliyeleta huu ujumbe unamjua?" Mie nikijibu ndyo namjua, ntaulizwa tena "huu ujumbe wake tuupokee?" Mie nikijibu ndyo upokelewee bas case kwishaaa.

Mtoto wa kwanza, akiwa wa kiume ntamuita "Kennedy" akiwa wa kike ntamuita "Lilian"

Vipi una swali jingineeee?
 
Back
Top Bottom