Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,230
Sasa mambo gani hayo jamani 😂😂😂nimechekaaa kituuuu dyadyaaaa, yule kijana hana hamu na mie tena,
Ananiita shetani wa dunia, ile siku hatuto isahau kamweeee. Tunapitia mengi mnooo,. Nkajuaga yeye anaweza jitetea eti linapigwa linakimbilia kusema "broooh nisamehee sirudii tena"
![]()

