Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,226
😂😂😂😂😂😂😂 khaaasasa nazugia huyu, main Chick ana 32, afu design namuonaa km anakua mtu mzimaa, uwiiiiiih.
Age is just a number BTW
Me kwa kweli below 30 nakublock mapemaaa ukiwa king’ang’a
😂😂😂😂😂😂😂 khaaasasa nazugia huyu, main Chick ana 32, afu design namuonaa km anakua mtu mzimaa, uwiiiiiih.
Najichanganya mguu pande mguu sawa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣,,, sio mazimaaaIla kujichanfanya unapenda ??😁??? Pimaa kwa afyaa Kijana!!
Vimo humu, we kaa rada utawanotice tu 🤣Wápiiiiiii vibabuuu nileee pension,
Ntafutie bas, huyu wa kuzugia, main Chick yupo SA, ana 32 now namuonaa km mkubwaaaa. Uwiiiiih.
Iko tabu mahala Vijana wa kileo kabisa??? Utakua msabato wewe🤣🤣🤣!!🤣🤣🤣🤣 Mambo hayo hayo ya kutaka kupima sijui kufanyaje🙌🙌
Pitia shairi kwenye nyimbo ya Jirushe Ferouz Ft Jay Mo anasema "hakuna demu wa kwenda naye nyama kwa nyama" ............me naongezea tu unless umepima nayekujali Afya na kuzuri mnooo.
Sa mbona hekaheka hizoo kha!!






nawee una amini? Nyie kuna mtu tulizaliwa mwaka m1, kanizidi miezi, ila yeye alichelewa kusoma now ndo yuko 4m 6, Sio vipo Sema wapo kipenzi tumekubaliana wazee waheshimiwee ujue umesahau!😛😛🤭🤭🤭Vimo humu, we kaa rada utawanotice tu 🤣
Huyo wa 32 ndio mwenyewe sasa, amekua.
unahitaji kufundwa kdg




nilivyo cna akili kuna muda nlkua nawazaa kumbwagaaa, ila baadae akili ikanambia acha utoto, uwiiiiiih🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!Kwendraaaaa huko,![]()
Aki nawaomba radhi wazee wa humu., nimefuta kauli shost🤣🤣🤣Sio viponSema wapo kipenzi tumekubaliana wazee waheshimiwee ujue umesahau!😛😛🤭🤭🤭
Mpe somo huyo, anaonekana mgeni hapa mjini😂😂😂😂😂😂 unahitaji kufundwa kdg
Mbavu zangu hukuuu 🤣🤣🤣🤣🤣!! 🤭🤭Aki nawaomba radhi wazee wa humu., nimefuta kauli shost🤣🤣🤣
Wamo humu wamejaa tele
khaaa
Age is just a number BTW
Me kwa kweli below 30 nakublock mapemaaa ukiwa king’ang’a






mie huyu main Chick angekua wa juzi na jana ningesha bwagaa kitamboooo, ila nimetoka nae mbali jaman. Vimo humu, we kaa rada utawanotice tu![]()
Huyo wa 32 ndio mwenyewe sasa, amekua.






wee usinambie.📌📌📌😂😂😂😂😂😂😂 khaaa
Age is just a number BTW
Me kwa kweli below 30 nakublock mapemaaa ukiwa king’ang’a
Pitia shairi kwenye nyimbo ya Jirushe Ferouz Ft Jay Mo anasema "hakuna demu wa kwenda naye nyama kwa nyama" ............me naongezea tu unless umepima naye






hatareeeee.Sio vipo Sema wapo kipenzi tumekubaliana wazee waheshimiwee ujue umesahau!![]()






watakufia vifuani weyeee.Weee wako vyediiii stamina wanayoooo buana!! 😜🤣watakufia vifuani weyeee.
Asante kwa kukazia kipenzi 🤭🤭😘