Selfika na JF: Snap it. Show it

Shougaaaaa usubiri siku ya kufaaa ndo utabwebwaaa ukiwa ndani ya box la mbao,. Kwa sasa uwaaacheee tyuuuh.
Sheendwaaaaa!! Nimekua namba 1 saivii sio tungunya tena😁😁😁🀣!!
 
sikufichi mie mtu akivaa suti sijui official hata hisia zinakataaaa, khaaaaaah
umenikumbusha zaman nilikuaga hivyo na mimi. Mwanaume akivaa kitambaa nilikua namuonaje sijui hata kumsikiliza nilikua sitaki basi huwa nikikumbuka nachekaaa. Bado wewe
 
umenikumbusha zaman nilikuaga hivyo na mimi. Mwanaume akivaa kitambaa nilikua namuonaje sijui hata kumsikiliza nilikua sitaki basi huwa nikikumbuka nachekaaa. Bado wewe
Waletreeeeeeee kwangu haoπŸ’ƒ waletrreeeeee hapaaaa πŸ™‡πŸ™‡πŸ™‡πŸ™‡πŸ˜!!
 
In caveman days wmanaume ambae alikua mpambanaji ndiye ambae watoto wake walikuwa wana chance kubwa ya ku survive, unafikiri kulikuwa kuna magari, majumba na pesa? vitu vimekuwa transformed tu, kwanza unajua maana/utofauti kati ya financially stability na utajiri?

Sasa siwezi ongea na mtu hana gender nitakuwa naongea na robot la google, huna experience yeyote ya ku chase mwanamke, huna experience ya kuwa provider, huna experience ya vitu vingi thats why una date na hao watoto wa miaka 23.. thats unaongea wewe kama wewe who are you a guy, girl or something else...?
 
Pilot naomba picha

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…