Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Weka na wewe sasa
2207631_FB_IMG_15732251665132093.jpeg
 
Mungu pekee ndo anajua vile najizuia hapa.!!
I hate shits, I just hate shits.!!
JF hapa kuna watu wa kila aina. Una haki ya kukasirika kwa sababu kilichofanyika si cha kiungwana. Hongera kwa kujizuia. Ukomavu wa mtu wa fikra na mihemko hupimwa katika nyakati kama hizi. Ni wachache wanaoweza kuminya hisia zao wakiwa wamekwazwa. It is a valuable trait to have...

Waambie mods waiondoe. Na usikubali hii ikuharibie usiku wako....
 
Usiangalie unene wa mkono maana watu wanafanya mazoezi wanapungua.
Angalia kidole kimoja kimoja kuna vitatu vipo identical kabisaaa...
Duniani wawili wawili au sio...
Binti,
Nadhani kuna mambo mengi yenye tija ya kufanya kuliko huu upuuzi wa kujifanya unajua kuunganisha dots za watu usiowafahamu humu ndani.!!

Would you please do me a favor by minding your own fqng business na uache kufanya huu upuuzi unaofanya hapa?? don't try to be nosy kwa watu usiowafahamu,

Huu upuuzi wa kujifanya unanijua sana unaanza kunifananisha na raia wengine naomba mwisho wake uwe hapa!!

Jipongeze kwamba nimekuheshimu sana!! Ukipata muda hebu jaribu kufanya mambo ya msingi..!! Halafu heey' mbona umekomalia sana?? What's wrong with you?? Do we know each other maybe??
 
Back
Top Bottom