Okay. Dah aisee huwa nakunjaga tuu. Sijawahi kunyoosha. Anyway itabidi nitembee kumbe kuna had secondary.
Haha yeah ipo aisee ile njia mimi ndiyo njia yangu pendwa nikiwa naenda kutembea mlimani kule mamlaka ya hali ya hewa tanzania,, kule kwenye ule mnara wenye mpira mweupe kwa juu ukisimama kule kwenye ule mnara unayaona majengo marefu ya posta na bahari unaiona kwa mbali wanasema pale ndiyo the highest point in dar es salaam na ule mpira hadi ukiwa kinyerezi mwisho kama unaenda mbezi unauona na ukiwa pugu stesheni pia unauona..


Haha yeah ipo aisee ile njia mimi ndiyo njia yangu pendwa nikiwa naenda kutembea mlimani kule mamlaka ya hali ya hewa tanzania,, kule kwenye ule mnara wenye mpira mweupe kwa juu ukisimama kule kwenye ule mnara unayaona majengo marefu ya posta na bahari unaiona kwa mbali wanasema pale ndiyo the highest point in dar es salaam na ule mpira hadi ukiwa kinyerezi mwisho kama unaenda mbezi unauona na ukiwa pugu stesheni pia unauona..
Hii mikono ni tofauti.
wewe huweki?
We unataka uwekewe picha tuu..... picha siku hiz zinatumwa pm.Dah! Punguzeni stori basi wakuu, wekeni picha macho yetu yaendelee kusuuzika![]()
Usiangalie unene wa mkono maana watu wanafanya mazoezi wanapungua.Hii mikono ni tofauti.
Mmoja wa juu mkono wake ni mnene na huyo mtu anaonekana ni mnene.
Huyu wa chini mkono wake ni mwembamba. Angalia alipovalia saa na huyo mwingine alipovalia hiyo bangili.
Ila viganja vyao vimefanana.
🙊🙊🙊🙊mbona sielewi hapa
Mkuu
Unaweza kunipa tofauti ya msingi(sensible) kati ya wanaume wanaotumia JF versus wanaotumia aina nyingine za mitandao ya kijamii?Hata wakibahatika kujua, wanaume wa JF hapana kwa kweli