Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huyo itakuwa alitaka tu kufanya kama Idris, sidhani kama alikuwa anamaanisha kivileee...

At least hivyo ndio nilielewa nilipoona hiyo post, na vile hili jukwaa ni chitchat...
Ni nini hichi unajaribu kufanya???
Whoever you are, don't try me please!!
Hii ndo tabia nisiyoipenda, Wabongo mna nini lakini!!? Unataka kuaminisha nini hapa watu??
 
Ni nini hichi unajaribu kufanya???
Whoever you are, don't try me please!!
Hii ndo tabia nisiyoipenda, Wabongo mna nini lakini!!? Unataka kuaminisha nini hapa watu??
Cool and easy.. ndicho nachoweza kukushauri..Potezea.
Sio kila kitu unachofanyiwa lazima u react negatively (Angry). Unawapa nafasi adui zako wajue udhaifu wako upo wapi!

U have to react with Hahahahahahah in anything.. no matter what kind of situation you're going
 
Ni nini hichi unajaribu kufanya???
Whoever you are, don't try me please!!
Hii ndo tabia nisiyoipenda, Wabongo mna nini lakini!!? Unataka kuaminisha nini hapa watu??
Cool and easy.. ndicho nachoweza kukushauri..Potezea.
Sio kila kitu unachofanyiwa lazima u react negatively (Angry). Unawapa nafasi adui zako wajue udhaifu wako upo wapi!

U have to react with Hahahahahahah in anything.. no matter what kind of situation you're going
 
Huyo itakuwa alitaka tu kufanya kama Idris, sidhani kama alikuwa anamaanisha kivileee...

At least hivyo ndio nilielewa nilipoona hiyo post, na vile hili jukwaa ni chitchat...
Haha.!
Hadii nimecheka.!!.
Eti kama Idris, na yakamkuta yepi??

Ajitahidi tu utani wa kipuuzi na watu aisowafahamu aache.!! Siyo wote wanafurahishwa! Humu kila mmoja ana akili zake, Kuna wengine washaelewa walivyoelewa na wamelibeba kama lilivyo.!! Siku si nyingi unajikuta umekuwa shemeji wa JF na ndoa hukuiona!!
 
Back
Top Bottom